Jinsi nilivyookoa simba asiuwawe na wananchi

Imebidi nicheke hata kabla ya kumalizia kusoma, hii ndiyo dunia tunayoishi na hawa ndio watu tunaotegemea wakemee ufisadi, utawala wa mabavu na ndio hawa hawa tunaowategemea kuleta mabadiliko ya kiuchumi katika nchi yetu.

Mungu na akusaidie ndugu, bado hujachelewa unaweza ukajifunza ukawa nguli zaidi
 
Dogo nimekufuatilia kwenye comments nyingi sana. Kama kweli una tatizo la uandishi pole sana ila jitahidi kujifunza uandishi mzuri ndio uanze kuposti. Ila kama unafanya kusudi unazingua sana.

It's real bored kusoma comments zako na mabandiko yako. Utanisamehe kwa hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom