Atkins Mendel
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 616
- 752
Imebidi nicheke hata kabla ya kumalizia kusoma, hii ndiyo dunia tunayoishi na hawa ndio watu tunaotegemea wakemee ufisadi, utawala wa mabavu na ndio hawa hawa tunaowategemea kuleta mabadiliko ya kiuchumi katika nchi yetu.
Mungu na akusaidie ndugu, bado hujachelewa unaweza ukajifunza ukawa nguli zaidi
Mungu na akusaidie ndugu, bado hujachelewa unaweza ukajifunza ukawa nguli zaidi