Jinsi nilivyofilisika

Jinsi nilivyofilisika

Kuamini mtu/watu kwa 100% ni hatari sana

Bado una uwezo wa kutoka kimaisha,kupitia biashara hiyo ulliyokuwa unaifanya

Vipi kuhusu hiyo 10% ,maana umesema umepoteza 90%, anzia na hiyo asilimia iliyobaki uinuke tena ...urudi kule kwenye kuchuuza kabla ya kuzalisha mwenyewe

Japo unasema umepoteza 90% ya mtaji, lakini ninachokiona hapo una asilimia zaidi ya 10% unayodhani umebaki nayo...UZOEFU ULIO NAO KWENYE HIYO BIASHARA MTAJI TOSHA

Pia kama mtu ana mtaji na akakuamini kutoka humu mnaweza fanya biashara, lakini itabidi akubali ku gumble maana biashara yoyote ni some sort of gambling.






Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Nmekuelewa mkuu ila ukisoma vizuri hapo utaona kua hilo tukio lilitokea mwaka jana, mwaka juzi kwa maana ya 2019 October ndo niliweka 90% ya hela yangu yote kwasabab nilikua nmeshakaa kule sana hvyo nilijua mzunguko wake

Mwaka Jana mwez wa 1 ndo nikarudi tz nta attach picha ya muhuri wa custom unao onesha tareh niliyoingia huku

So hapo unaona jinsi gan hizo 10% nilivyokua nazitumia,badae nilikuja kufunga ofisi yani sikuamin kujinyima kote na kukusanya hela afu ingepotea vile so kati mengi yalitokea ambayo yalikua sio muhimu nafikiri ukiisoma upya utaelewa mkuu
 

Attachments

  • IMG_20210302_182933_610.jpg
    IMG_20210302_182933_610.jpg
    313.1 KB · Views: 11
so wakat ipo peak hukuwekeza hatankwa kujenga kibanda cha uani ?
 
Back
Top Bottom