bro kay
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 254
- 219
Asante kwa hekima zako.
Karibu mkuu
Asante kwa hekima zako.
nimekukubali mkuu wajinga ndo waliwaoAfterthought 2:
Biashara na uchawi.
Kule nilivyoingia uziguani, wale wazee wa ofisini wakanitahadharisha siku ya kwanza tu - kijana kuwa makini sana, umejiandaa lakini?
Sikuelewa maana yake, ama either nilijifanya sijaelewa ili walieleza kiundani. Mzee m1 akaniita pembeni akanieleza. Akanitisha sana suala la uchawi, ushirikina, husda za watu, akaniambia inabidi nijilinde. Mimi nikamweleza wazi yule mzee kuwa siamini juu ya uwepo wa hivyo vitu, akasema kama mimi siamini basi nimpe yeye elfu 30 ataenda kujua jinsi gani atanilinda, bila mimi kuwa involved. Mimi kiukweli nilimgomeshea tukaachana, akasema nisubiri nijionee.
Nilivyoanza kazi nilifata protocols zote za utunzaji wa chombo, kila tukimaliza kazi tunapiga grease ya kutosha, nikanunua oil litre 40, kila baada ya heka 40 napiga chini oil, filter ya oil na diesel nabadilisha kila wiki. Yani sikutaka utani, mtu angeweza kusema vile ni vyombo vyangu japo nilivikodi.
Pale tulifanya kazi bila itilafu za nje ya technical issues, kuna kitu kilizingua nikamwita fundi kutoka Moro, hatukufanya kazi kwa siku 3, lakini lilikuwa tatizo la kiufundi.
Mchawi wa mafanikio ni umakini, kujituma na kuipenda kazi yako. Hakuna ndumba, unachoma tu pesa zako.
ila dogo uwe makini na afya yako maana naona tb kwako ipo nje nje.unywe maziwa sanaNdivyo hivyo kiongozi. Lakini kipimo reliable zaidi ni kupima kwa hatua. Ukichukua mita imekula kwako. Pia kuna njia nyingine ya kienyeji watu wa pwani wanaita 'Nzera/Nzela', yani kinakatwa kijiti, kisha mtu anapanua mikono (tuseme kama yesu msalabani) kisha hicho kijiti kinapitwa kuanzia mwanzo wa mkono mmoja hadi mwisho. Sasa nzera 35 ni heka 1. Pia ukitumia hii njia inakula kwako, tumia hatua ndio utaona faida.
Viaz vikichanganyikiwa namm nitakuja kusini, niweke kwenye ratiba hii miezMkuu nimekuelewa saanaa,, Upo vizuri saanaa . Kwenye kilimo kuna PESA Sana binafsi na dil na zao la korosho Kusini, mwaka Jana nimepata pesa ambayo sikutarajia kabisa... Jins unavyosubiria wewe msimu wa mwenz wa 6-8 kirombero, sawa na Mimi navyosubiri mwenz wa 9-12 Kusini.
au mambo ya forever na deci ataona wino mchunguWe sema tu usiogope ili mradi tu usilete habari za m-pesa na tigo-pesa, hapo utakimbia uzi!
Na ukute hana hoja za kusapoti anachoeleza,atajuta kujiunga jf.au mambo ya forever na deci ataona wino mchungu