Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Hivi huyu bilionea mwenye huu uzi aliishiaga wapi na ule mjengo wake alionunua Masaki, na gari yake ya RoliziRolizi Na Cadillac yake??
 
Huyu jamaa alitumia forum hii ya Maxcence Mello kuwatapeli watu na Bwana Max alimkalia kimya tu. "Alitukusanya wengi huyu mwamba enzi hizo 2017" Jamaa kichwa sana huyu dogo alikula hadi hela za wazee wastaafu. Aisee tapeli hana huruma
 
Back
Top Bottom