- Thread starter
- #21
asante mkuu!Labda iwe unaomba kazi za kubeba mizigo, kama unakataliwa kutokana na umbo lako, basi hukuomba kazi kwa watu waelewa, hivyo usiwe na shida.
asante mkuu!Labda iwe unaomba kazi za kubeba mizigo, kama unakataliwa kutokana na umbo lako, basi hukuomba kazi kwa watu waelewa, hivyo usiwe na shida.
asante sana mkuu! mwenyezi akuzidishieKwani umri wa mtu una angaliwa kwa umbile au vyeti husika? Usijali ndugu huenda hapo haikuwa riziki yako. Mungu atakufungulia mlango mwingine. Usijisikie mnyonge. Mungu aliyeruhusu uwe na umbile hilo ana kusudi lake jema tu katika maisha yako. Wewe jikubali na ujiamini. Endelea kupambana
Mhhhhhhhhamna! kazi za hapa na pale tu za factory
Usihofu dogo akili ndio kila kitu wewe huoni jinsi magu anavyowahenyesha akina Kabudi, Kangi na mabouncer wengine. Au hata ka-Nyerere kalivyowapelekesha akina Malecela. Au hata akina Mwinyi na Mkapa walivyowapelekesha akina IGP nanii yule...Halafu bado wewe unakuwa hadi miaka 25 ndio utaacha kukua. Kwa sasa kuza akili yako.Mimi ni kijana ninayekaribia miaka 20 sasa lakini kutokana na kuwa na mwili mdogo, naonekana kama mtoto wa miaka 16 na mara nyingi nimekuwa nikikataliwa ninapoenda kuomba kazi, inaniuma sana ..
asante sana mkuu??Usihofu dogo akili ndio kila kitu wewe huoni jinsi magu anavyowahenyesha akina Kabudi, Kangi na mabouncer wengine. Au hata ka-Nyerere kalivyowapelekesha akina Malecela. Au hata akina Mwinyi na Mkapa walivyowapelekesha akina IGP nanii yule...Halafu bado wewe unakuwa hadi miaka 25 ndio utaacha kukua. Kwa sasa kuza akili yako.
Kazi!? Unamaanisha kazi kama kazi au ile kazi nyingine!!??





Sasa unaongelea udogo gani au wembambaa??? Maana urefu unaoosio sababu mkuu kuna wengi tu nimewazidi urefu wanapiga kazi ndan umo ..
NaamMkuu, inatakiwa achana na muonekano ila hoja zako ziwe nzito ndio kinachomata.