Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

Jinsi mwili mdogo unavyonitesa

Nenda jimu kapige nondo, halafu usiwe unapaka lotion paka sabubi ngozi ya uso ikakamea, utaonekana kijeba tu
mkuu sio kama ni mfupi kivile, nna medium height ila ndo ivyo naonekana dogo
 
Bila shaka we we utakuwa wa pwani au nyanda za juu kusini.Moro,njombe,mbeya kuna watu wana mili midogo sana huku wanachakula king I sijui kwa mini.Walau wanyakyusa wanajitahidi kidogo ila waking a,wasafa,wamalila,no mh!!!!
 
Labda iwe unaomba kazi za kubeba mizigo, kama unakataliwa kutokana na umbo lako, basi hukuomba kazi kwa watu waelewa, hivyo usiwe na shida.
Mimi ni kijana ninayekaribia miaka 20 sasa lakini kutokana na kuwa na mwili mdogo, naonekana kama mtoto wa miaka 16 na mara nyingi nimekuwa nikikataliwa ninapoenda kuomba kazi, inaniuma sana ..
 
Back
Top Bottom