Jinsi "Limbwata" itakavyoubadilisha ulimwengu

Jinsi "Limbwata" itakavyoubadilisha ulimwengu

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
5,139
Reaction score
12,882
Hellow wakuu,

Naamini uwepo wa limbwata kwani ni kitu ambacho ninakifahamu kwa experience (empirical knowledge)

Nadhani mmewahi kusikia story kuhusu Limbwata, mfano mume kumfumania mke na asifanye kitu chochote kibaya kama vile mauaji au kulawiti mgoni wake badala yake anaamua kumsamehe mke na kumpenda zaidi kwa kumsaidia kazi za ndani kama vile kupiga deki, kuosha vyombo, kuogesha watoto n.k

Pia nadhani mmewahi kusoma ktk vyombo vya habari au kushuhudia mume akitenda makosq ya jinai kwa kumuia mke aliyemfumania/mke msaliti kisa hasira au kumlawiti mgoni (jawara).

Kinachofanya mtu kuua kwa makusudi au kutenda jinai ni "mihemuko" au hasira ambazo ni chemical zinazalishwa mwilini na kumwagwa ktk mzunguko wa damu hormones kama vile adrenaline na noradrenaline

Hizo hormones hapo juu zikiwa controlled, mtu huwa na utulivu wa akili na hufanya maamuzi bila haraka wala mihemko (emotional intelligence)

Kama mume aliyepewa limbwata na mke wake anaweza kumsamehe na kumpenda zaidi mke wake wa ndoa aliyemfumania bila kuleta madhara yoyote, basi limbwata ni anti emotions hormones, yaani inacontrol adrenaline na noraadrenaline insmpa mtu high emotional intelligence quotient.
Mfano mtu akupige kofi kisha umtizame tu bila kumfanya chochote wala kusema tusi lolote.

Limbwata ni dopamine na endorphines chemicals (happy chemicals), (hisia zangu)

Limbwata hutengenezwa kutoka ktk miti shamba mbali mbali ambayo miti yake inafahamika kwa kilugha kulingana na eneo ulilopo. (Hii ni topic nyingine)
Limbwata huchanganywa na harufu ya mtu anayeimiliki, kisha hutumika kwa target (mlengwa)

Mlengwa akipewa kwa njia ya chakuls su ngono huzalisha hormones za furaha kwa wingi (endorphine na dopamine) kwa kupitia condition reflex action pattern (rejea mfano wa pavlov na kengele)

Limbwata hutumika kwenye njia ya uke/uume au mdomo (oral route).


Point kubwa ya huu uzi ni kama ifuatavyo


Kama limbwata itatumika kama tunavyotumia chumvi kwenye chakula au mboga , yaani iwe kama ingredients. Iwe utaratibu kwa kila mtu kila siku


Basi kuna uwezekano wa kuwa na jamii isiyo na jinai (world without crimes)

Watu watapendana, watathaminiana watasaidizana kwa upendo wote

Nakaribisha maswali na mitizamo tofauti

Nawasilisha.
 
Sema hiyo kitu ukipigwa fresh sio poa yani mkeo atapigwa mashine kwenye kochi na we uko chumbani unabishana kama Simba anavuka au havuki kwa mwarabu
Warangi wanayajua sana haya na wanyamwezi
 
So limbwata ipo scientific or spiritually?
Scoentific mkuu

Ipo ina exist

Kama tutawaterm watu waliopo gerezani kwa makosa ya mauuaji kama wagonjwa badala ya wafungwa

Wakapimwa level ya hormones ikiwemo adrenaline, noradrenaline, dopamine na endorphine


Kisha tukafanya analysis

Kuna kitu kitaamsha wengi


Limbwata ni tiba yao sahihi
 
Sema hiyo kitu ukipigwa fresh sio poa yani mkeo atapigwa mashine kwenye kochi na we uko chumbani unabishana kama Simba anavuka au havuki kwa mwarabu
Warangi wanayajua sana haya na wanyamwezi
Sasa fikiria dunia ingekuwa hivo kesi za msiaji zisingekuwepo

Itumike kama chumvi kwenye mboga mkuu
 
Sasa fikiria dunia ingekuwa hivo kesi za msiaji zisingekuwepo

Itumike kama chumvi kwenye mboga mkuu
Sawa Cha msingi Bunge lipitishe sheria itengenezwe kwa wingi isambazwe maeneo mbali mbali ya nchi yetu "no limbwata no erection"
 
mitano tano tena naona unamwa mavi yn kubadilisha jamii kwa limbwata jf saa hii naona haina watu
 
Mtu anaye jihusisha na limbwata mimi naona kuwa hana akili, kwani mtu yoyote anaweza kuishi na kutafuta mpenzi sahihi wakapendana bila maswala ya limbwata ni mtizamo hasi usio na maana. nashauri hakuna haja ya limbwata kama ni mwenza wako tafuta mwenza sahihi uishi nae.
 
Sema hiyo kitu ukipigwa fresh sio poa yani mkeo atapigwa mashine kwenye kochi na we uko chumbani unabishana kama Simba anavuka au havuki kwa mwarabu
Warangi wanayajua sana haya na wanyamwezi
😂😂😂😂
 
Mkuu..., inaonekana hujui madhara ya limbwata, rudi tena ukafanye study yako utabadilisha ulichoandika...
 
Sawa Cha msingi Bunge lipitishe sheria itengenezwe kwa wingi isambazwe maeneo mbali mbali ya nchi yetu "no limbwata no erection"
Pointi yangu mkuu zifanywe tafiti sio kila kitu ni cha kubeza
 
Mkuu..., inaonekana hujui madhara ya limbwata, rudi tena ukafanye study yako utabadilisha ulichoandika...
Kila kitu kina faida na hasara

Hata aspirin ina side effects mkuu


Watu wanabeza hawaoni kitu nachojaribu kuwafikirisha
 
mitano tano tena naona unamwa mavi yn kubadilisha jamii kwa limbwata jf saa hii naona haina watu
Wewe unafikiri kwa mihemko

Nimekuletea uzi kukufikirisha kuwa tunaweza kutengeneza anti criminal vaccine kwa kutumia mitishamba ya hapa hapa bongo

Pengine huu ni mwanzo wa kufikiri ystakuja mawazo mapya


Hujui kuwa hata penicillin ilikuwa inatengenezwa kutoka katika mstunda yaliyovunda hapo zamani?
 
Back
Top Bottom