Black nyeti
JF-Expert Member
- Jun 30, 2025
- 690
- 1,126
KingerezaAbout antidepressants, unaona issue ya gender me naona ni existential issue, suffered by the first World countries, but now due to globalisation, a global issue.
Huwezi kuwa materialistic / materialist / deterministic uache kurukwa na akili.
We have denied our true nature, our transcendent nature. We have denied our source, our God. Refusing to accept the truth that will set us free.
Now we're stuck in the false limited space we've foolishly confined ourselves in, trying all the possibilities possible to find meaning, just to collapse to meaninglessness, having to rely on pills to get through the day.
Sasa how do we decide if the problem here is my content or its your capacity (or lack thereof) for comprehension? ?Nimeona umeandika tu upuuzi tulia kwanza theni upangilie hicho unachotaka kueleza mkuu
Hayo maswali yako yanaonyesha hujazingatia mada. Anyway rudi hoja #12 hapo juu nimejaribu kumuelekeza uhalisia Mstahiki MeaBila shaka utakuwa kobazi weweπ Je hao watoto anao walea watakula mawe? Maana dunia ya sasa wanaume wengi tunatekekeza watotoπ€£ na ndoa sio jambo la msingi tena/halipewi kipaumbele, je wanawake wasioolewa watakula nini au wataleaje watoto wao au wajane watapata wapi mahitaji ya msingi. Ukishindwa kujibu haya basi ujue kuna tatizo katika hoja zako.
ChatGPT:Kingereza
Ntamfundisha kuheshimu watu wote Duniani hususani wanaume, mengine yatakuwa ndani yake. Hawezi kujitegemea hapa ulimwenguni kama hawezi kuheshimu wanaume.Mfundishe kujitegemea kabla hajaingia kwenye mambo ya kifamilia hii itamsaidia kutokuwa mtumwa
Kwa namna ninavyomheshimu mama yangu, ngoja niheshimu wanawake,.nikiwaheshimu wataniheshimu. Nitamfunza binti yangu siku zote kuwa na heshima na wanaume. Sidhani kama nitaeleweka.Sitapenda, but haiondoi ukweli kwamba asili ya mwanamke ni kumuintertain mwanaume na kumlelea watoto baasi, haya mengine ni mipango ya shetwani tuu.
Mmmmmmmmmmmmmmmh haya bhanChatGPT:
Kuhusu dawa za msongo wa mawazo (antidepressants), unaona suala la jinsia (gender), mimi naona ni suala la kuwepo (existential issue), linalowatesa watu wa nchi za ulimwengu wa kwanza, lakini sasa kutokana na utandawazi, limekuwa suala la dunia nzima.
Huwezi kuwa mtu wa kufikiria vitu kwa mtazamo wa kimada (materialistic), kimada kabisa (materialist), au kwa mtazamo wa kisababishi tu (deterministic) halafu usitarajie kurukwa na akili.
Tumekataa asili yetu ya kweli, ile asili yetu ya kiroho na inayotufikisha juu zaidi ya hapa duniani. Tumemkana Chanzo chetu β Mungu wetu. Tumekataa kuukubali ukweli ambao unaweza kutuweka huru.
Sasa tumekwama katika nafasi ya uwongo na finyu tuliyojifungia kwa upumbavu wetu, tukijaribu kila uwezekano wa kupata maana, lakini mwisho wake tunaporomoka kwenye hali ya kukosa maana, tukilazimika kutegemea vidonge ili kuvumilia siku moja zaidi.
Halafu naomba nikufahamishe kwamba hiyo entertainment unayosema ni scam. Heshima ndo jambo la msingi kuliko yote.Sitapenda, but haiondoi ukweli kwamba asili ya mwanamke ni kumuintertain mwanaume na kumlelea watoto baasi, haya mengine ni mipango ya shetwani tuu.
Mbona unaenda mbali. Hatujasema wanawake wasiheshimiwa, tena inapswa waheshmiwe na kupendwa kweli kweli. Lakini hili la lulazimisha usawa baina ya mtu mume na mtu mke ni kimyume cha asili ya binadamu. Mwanamke anahitaji mambo matatu tuu kutoka kwa mwanaume - Kupendwa, kusikilizwa na kuhudumiwa. Ila mwanaume anahitaji jambo moja tuu kutoka kwa mwanamke - UTIIFU.Kwa namna ninavyomheshimu mama yangu, ngoja niheshimu wanawake,.nikiwaheshimu wataniheshimu. Nitamfunza binti yangu siku zote kuwa na heshima na wanaume. Sidhani kama nitaeleweka.
Ok. Hapo nimekuelewa mkuu. Nakushukuru, upo sahihi. Asante sana.Mbona unaenda mbali. Hatujasema wanawake wasiheshimiwa, tena inapswa waheshmiwe na kupendwa kweli kweli. Lakini hili la lulazimisha usawa baina ya mtu mume na mtu mke ni kimyume cha asili ya binadamu. Mwanamke anahitaji mambo matatu tuu kutoka kwa mwanaume - Kupendwa, kusikilizwa na kuhudumiwa. Ila mwanaume anahitaji jambo moja tuu kutoka kwa mwanamke - UTIIFU.
Nimeipenda ufafanuzi wako mkuu umeeleza vizuri sanaEndelea kujipumbaza. Ila nitakutoa upumbavu wako kwa kujaribu kukueleza kwa kirefu kwa sababu ulikosa hata "F" ya std VII.
Katika uhalisia wa uumbaji, based on natural facts kama vile biological, psychological, physical, na emotional differences, wanawake wamewekwa katika nafasi ya kuwa entertainers wa wanaume zaidi kuliko wealth producers. Hii si kwa sababu ya ubaguzi, bali ni kwa sababu ya tofauti za asili ambazo si rahisi kubadilika.
Mathalan, Kibaiolojia, mwanamke ana miezi tisa ya kubeba mimba na miaka miwili ya kulea mtoto kikamilifu. Ukijumlisha, ni takriban miaka mitatu kwa mtoto mmoja. Sasa, fikiria akiwa na watoto watano, hii inamaanisha anahitaji kuwekeza miaka mingi katika kuzaa na kulea, na hii inazuia uwezo wake wa kujihusisha kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.
Kisaikolojia au kihisia, wanawake wengi ni more empathetic, wana huruma hata kwa vitu visivyohurumisha, waoga kupitiliza wanaogopa hadi mende jambo ambalo linaonyesha jinsi asili inavyowaweka katika nafasi ya kukimbia au kuunga mkono , badala ya kushindana katika maisha.
Ukiangalia kwa upande wa physical capabilities, wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu zinazohitaji nguvu nyingi kama wanaume, hivyo kushindwa kuzimudu njia kuu za uchumi ambazo kwa enzi na enzi zimekuwa zikihitaji nguvu na stamina kubwa. Kwa miaka na dahali kumiliki njia za uchumi kulihiutaji vita, mabavu, ubabe nk. Mwanamke angeweza wapi na yeye alikuwa kazi yake kumliwaza kidume akirudi amechoka na kuzaa watoto.
Hii ndio sababu kubwa inayopelekea dunia kutumia nguvu kubwa, juhudi na resources nyingi sana kumuwezesha kufanya kile ambacho asili haikumuandalia kwa urahisi. Ni sawa ukiwa na mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira kama mwanagu jr, hutalazimika kutumia nguvu nyingi sana kwa mafunzo kabla hajafikia level ya juu tofauti na mtoto ambaye hana kipaji cha mpira kama Romeo mtoto wa David bekham.
Na behind the scheme hizi ishu za kumwezesha mwanamke ni sijui maswala ya equality and empowerment yana siri kubwa ambapo atahri zake ndio zinaanza kujitokeza sikuhizi mfano kuongezea kwa maswala ya LGBTQE na hivyo kuharibu kabisa uhalisia wa binadamu.
Kwenda usinichoshe hata sijui kwa nini nimekujibu
Mdau unayejiita Black nyeti naona umeweka angry βπ‘β kwenye hii post,labda ulitaka kusemaje na wewe?tunakusikiliza!Kiuhalisia mwanamke aliumbwa kumtumikia mwanaume katika leisure occasions tu, na sio kuwa sehemu ya kumiliki chumi za dunia.
Mdau unayejiita Black nyeti naona umeweka angry βπ‘β kwenye hii post,labda ulitaka kusemaje na wewe?tunakusikiliza!
Nyie ni wanyanyasaji wa kijinsia kabisa yaaaaniMdau unayejiita Black nyeti naona umeweka angry βπ‘β kwenye hii post,labda ulitaka kusemaje na wewe?tunakusikiliza!
Umethibitisha alichoandika mleta mada pale juu,ku-play victims ni hulka yenu ila inaposemwa kumtumikia mwanaume siyo ukamuogeshe ni wewe kufanya yale aliyoyanzisha wakati ule hayupo.Nyie ni wanyanyasaji wa kijinsia kabisa yaaaani
Sijasoma uzi wote kozi ni mrefu sana. Alafu hapo mbona umekozaUmethibitisha alichoandika mleta mada pale juu,ku-play victims ni hulka yenu ila inaposemwa kumtumikia mwanaume siyo ukamuogeshe ni wewe kufanya yale aliyoyanzisha wakati ule hayupo.