Jinsi jamii inavyowahadaa Wanawake

Jinsi jamii inavyowahadaa Wanawake

Diwani

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2014
Posts
2,824
Reaction score
3,021
Duniani kuna "social programming" inaendelea, kupitia mitandao ya kijamii na Kampuni kubwa za Uwekezaji kama Hollywood. Social programming hiyo inalenga kubadilisha dhana nzima ya mahusiano na ndoa. Kwa upande wa Wanawake , kuna story nyingi sana wanapewa kuhusu mahusiano, zoezi zima likiratibiwa na wanaharakati wa masuala ya Kijinsia ikiwamo Wafeminia (Feminists)

Tazama, hivi unajua kwenye nchi zilizoendelea Wanawake ndio wanaongoza kwa matumizi ya anti depressants? Kwa msiozifahamu hizi ni dawa zinazopunguza msongo wa wazo na kuwapa utulivu wa mwili. Na hivi unajua kwanini nchi nyingi za Magharibi wanalalamika kuhusu aina ya Wanawake ambao feminism imetengeneza? Wanawake ambao hawataki kuwajibikia Wakikosea, hawataki kuonekana wana makosa, ila kosa ni la Mwanamume bila kujali amehusika au hakuhusika, ila wamekuwa vilema wa wajibu.

Haya yote yana sababu, na sababu yake ni hii; Wanawake wana matatizo mengi sana ya changamoto ya afya ya akili, ila hawaambiwi na wala hawajui, kwanini? Simply kwa sababu mbili.

  1. Wanaaminishwa wao ni victims; yaani wahanga, so wamejenga kilema cha akili cha kuhisi ni wao pekee wanaoonewa na makosa yote hata yale wanayopitia wao ni kwa sababu ya Wanaume. Hii ina maanisha kuwa wanazidi kurudisha mamlaka kwa Wanaume, kwamba sehemu kubwa ya maisha yao ni kwa sababu ya Wanaume, na si wao wanaokosea kwenye kuamua.
  2. Jamii ime "sugarcoat" matatizo yao; siku hizi yanaitwa DRAMA, ndio maana Mwanamke hajui kama ana matizo, simply ni kwa sababu hahisi kama ana matatizo, ni jambo la aibu sana kumkuta Mwanamke anafanya jambo la kujidharirisha, ila jamii inaishia kusema 'Ndio Wanawake walivyo" au 'Wanawake wana drama" ndio maana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali, kwa sababu hawaamini kwenye makosa wala kuwa na mapungufu, kwa kuwa yamepewa jina zuri. INASIKITISHA.
Siku hizi Wanawake wengi wanalilia privileges za Walemavu, wamelemaa; wanatafuta upendeleo zaidi ya Usawa kama wanavyolilia. Huwezi kuwashauri, kwa sababu mtu yeyote anayeshaurika ni yule ambaye anakubali kuwajibikia makosa au changamoto alizonazo; na yupo tayari kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwa watu wengine, ila hawapo tayari kubeba mzigo wa makosa kwanza kwa sababu wao muda wote wanaamini wanaonewa, na shida zao nyingi za akili zinaitwa DRAMA.


Mwisho wa siku, Wanawake ni mali ya Mabepari; ndio maana wanapendwa. Good consumers ni lazima wawe na kelele kwa sababu wanaowatumia wananufaika nao. Win-lose situation.
 
Wanawake wana matatizo tangu zamani. Hasa dini zimechangia pakubwa kuwaharibu , na kuwafanya kukua wakijua Kujiimarisha kiuchumi sio jukumu lao . Utasikia mwanamke mpumbavu anakwambia sisi yani wao kazi yao nikuzaa kwa uchungu ukimuuliza kuzaa kwa uchungu kunakuingizia shilingi ngapi hana majibu. Hii imewafanya wanawake kuwa tegemezi kwa kila kitu , leo hii wanaume tusipokuwepo wanawake karibu nusu watakufa njaa. Takwimu zinaonesha katika watanzania 10 maskini/tegemezi 7 niwanawake. Jambo la msingi ni wanawake wenyewe kujitambua kufanya kazi kwa bidii na kuwa na heshima na adabu🤣
 
Kiuhalisia mwanamke aliumbwa kumtumikia mwanaume katika leisure occasions tu, na sio kuwa sehemu ya kumiliki chumi za dunia.
Je kwa dunia ya sasa utapenda binti yako awe kama ulivyo suggest? Ninaye binti, nitamfundisha kuheshimu wanaume katika jamii. Mengine yote nitaiachia nature iamue hatma yake.
 
Duniani kuna "social programming" inaendelea, kupitia mitandao ya kijamii na Kampuni kubwa za Uwekezaji kama Hollywood. Social programming hiyo inalenga kubadilisha dhana nzima ya mahusiano na ndoa. Kwa upande wa Wanawake , kuna story nyingi sana wanapewa kuhusu mahusiano, zoezi zima likiratibiwa na wanaharakati wa masuala ya Kijinsia ikiwamo Wafeminia (Feminists)

Tazama, hivi unajua kwenye nchi zilizoendelea Wanawake ndio wanaongoza kwa matumizi ya anti depressants? Kwa msiozifahamu hizi ni dawa zinazopunguza msongo wa wazo na kuwapa utulivu wa mwili. Na hivi unajua kwanini nchi nyingi za Magharibi wanalalamika kuhusu aina ya Wanawake ambao feminism imetengeneza? Wanawake ambao hawataki kuwajibikia Wakikosea, hawataki kuonekana wana makosa, ila kosa ni la Mwanamume bila kujali amehusika au hakuhusika, ila wamekuwa vilema wa wajibu.

Haya yote yana sababu, na sababu yake ni hii; Wanawake wana matatizo mengi sana ya changamoto ya afya ya akili, ila hawaambiwi na wala hawajui, kwanini? Simply kwa sababu mbili.

  1. Wanaaminishwa wao ni victims; yaani wahanga, so wamejenga kilema cha akili cha kuhisi ni wao pekee wanaoonewa na makosa yote hata yale wanayopitia wao ni kwa sababu ya Wanaume. Hii ina maanisha kuwa wanazidi kurudisha mamlaka kwa Wanaume, kwamba sehemu kubwa ya maisha yao ni kwa sababu ya Wanaume, na si wao wanaokosea kwenye kuamua.
  2. Jamii ime "sugarcoat" matatizo yao; siku hizi yanaitwa DRAMA, ndio maana Mwanamke hajui kama ana matizo, simply ni kwa sababu hahisi kama ana matatizo, ni jambo la aibu sana kumkuta Mwanamke anafanya jambo la kujidharirisha, ila jamii inaishia kusema 'Ndio Wanawake walivyo" au 'Wanawake wana drama" ndio maana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali, kwa sababu hawaamini kwenye makosa wala kuwa na mapungufu, kwa kuwa yamepewa jina zuri. INASIKITISHA.
Siku hizi Wanawake wengi wanalilia privileges za Walemavu, wamelemaa; wanatafuta upendeleo zaidi ya Usawa kama wanavyolilia. Huwezi kuwashauri, kwa sababu mtu yeyote anayeshaurika ni yule ambaye anakubali kuwajibikia makosa au changamoto alizonazo; na yupo tayari kupokea maoni na mapendekezo kutoka kwa watu wengine, ila hawapo tayari kubeba mzigo wa makosa kwanza kwa sababu wao muda wote wanaamini wanaonewa, na shida zao nyingi za akili zinaitwa DRAMA.


Mwisho wa siku, Wanawake ni mali ya Mabepari; ndio maana wanapendwa. Good consumers ni lazima wawe na kelele kwa sababu wanaowatumia wananufaika nao. Win-lose situation.
Awanataka upendeleo badala ya usawa.

Kwako Mshana Jr
 
Wewe ni mpumbavu
Endelea kujipumbaza. Ila nitakutoa upumbavu wako kwa kujaribu kukueleza kwa kirefu kwa sababu ulikosa hata "F" ya std VII.
Katika uhalisia wa uumbaji, based on natural facts kama vile biological, psychological, physical, na emotional differences, wanawake wamewekwa katika nafasi ya kuwa entertainers wa wanaume zaidi kuliko wealth producers. Hii si kwa sababu ya ubaguzi, bali ni kwa sababu ya tofauti za asili ambazo si rahisi kubadilika.

Mathalan, Kibaiolojia, mwanamke ana miezi tisa ya kubeba mimba na miaka miwili ya kulea mtoto kikamilifu. Ukijumlisha, ni takriban miaka mitatu kwa mtoto mmoja. Sasa, fikiria akiwa na watoto watano, hii inamaanisha anahitaji kuwekeza miaka mingi katika kuzaa na kulea, na hii inazuia uwezo wake wa kujihusisha kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.

Kisaikolojia au kihisia, wanawake wengi ni more empathetic, wana huruma hata kwa vitu visivyohurumisha, waoga kupitiliza wanaogopa hadi mende jambo ambalo linaonyesha jinsi asili inavyowaweka katika nafasi ya kukimbia au kuunga mkono , badala ya kushindana katika maisha.

Ukiangalia kwa upande wa physical capabilities, wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu zinazohitaji nguvu nyingi kama wanaume, hivyo kushindwa kuzimudu njia kuu za uchumi ambazo kwa enzi na enzi zimekuwa zikihitaji nguvu na stamina kubwa. Kwa miaka na dahali kumiliki njia za uchumi kulihiutaji vita, mabavu, ubabe nk. Mwanamke angeweza wapi na yeye alikuwa kazi yake kumliwaza kidume akirudi amechoka na kuzaa watoto.

Hii ndio sababu kubwa inayopelekea dunia kutumia nguvu kubwa, juhudi na resources nyingi sana kumuwezesha kufanya kile ambacho asili haikumuandalia kwa urahisi. Ni sawa ukiwa na mtoto mwenye kipaji cha kucheza mpira kama mwanagu jr, hutalazimika kutumia nguvu nyingi sana kwa mafunzo kabla hajafikia level ya juu tofauti na mtoto ambaye hana kipaji cha mpira kama Romeo mtoto wa David bekham.

Na behind the scheme hizi ishu za kumwezesha mwanamke ni sijui maswala ya equality and empowerment yana siri kubwa ambapo atahri zake ndio zinaanza kujitokeza sikuhizi mfano kuongezea kwa maswala ya LGBTQE na hivyo kuharibu kabisa uhalisia wa binadamu.

Kwenda usinichoshe hata sijui kwa nini nimekujibu
 
About antidepressants, unaona issue ya gender me naona ni existential issue, suffered by the first World countries, but now due to globalisation, a global issue.

Huwezi kuwa materialistic / materialist / deterministic uache kurukwa na akili.

We have denied our true nature, our transcendent nature. We have denied our source, our God. Refusing to accept the truth that will set us free.

Now we're stuck in the false limited space we've foolishly confined ourselves in, trying all the possibilities possible to find meaning, just to collapse to meaninglessness, having to rely on pills to get through the day.
 
About antidepressants, unaona issue ya gender me naona ni existential issue, suffered by the first World countries, but now due to globalisation, a global issue.

Huwezi kuwa materialistic / materialist / deterministic uache kurukwa na akili.

We have denied our true nature, our transcendent nature. We have denied our source, our God. Refusing to accept the truth that will set us free.

Now we're stuck in the false limited space we've foolishly confined ourselves in, trying all the possibilities possible to find meaning, just to collapse to meaninglessness, having to rely on pills to get through the day.
Nonsense
 
Je kwa dunia ya sasa utapenda binti yako awe kama ulivyo suggest? Ninaye binti, nitamfundisha kuheshimu wanaume katika jamii. Mengine yote nitaiachia nature iamue hatma yake.
Sitapenda, but haiondoi ukweli kwamba asili ya mwanamke ni kumuintertain mwanaume na kumlelea watoto baasi, haya mengine ni mipango ya shetwani tuu.
 
Sitapenda, but haiondoi ukweli kwamba asili ya mwanamke ni kumuintertain mwanaume na kumlelea watoto baasi, haya mengine ni mipango ya shetwani tuu.
Bila shaka utakuwa kobazi wewe😅 Je hao watoto anao walea watakula mawe? Maana dunia ya sasa wanaume wengi tunatekekeza watoto🤣 na ndoa sio jambo la msingi tena/halipewi kipaumbele, je wanawake wasioolewa watakula nini au wataleaje watoto wao au wajane watapata wapi mahitaji ya msingi. Ukishindwa kujibu haya basi ujue kuna tatizo katika hoja zako.
 
Back
Top Bottom