...kajieleza namna alivyo hack, hizo namna kazi copy katika forums zinazo discus infotech, hana utaalamu huo, na ninajua bongo hackers hakuna, namaanisha wabongo wenyewe mtu akiwa software developer anahis amekuwa hacker, hacking is not something u heard
Bora nimepata cha kuchangia hapa..Aiseee ni siri na sio sili.....
sili....
.
.
Sasa software developer imeingiaje hapo
.
Hebu jaribu kutulia.....
.
Acha ku panic panic tu bila sababu ya msingi
.
Nimekuona pale juu pumba ulizo ziandika ila sikujibu kitu.....
Mana naona hauko sawa kabisa
.
Yaani mpaka leo unadhani bongo hakuna hackers???
.
Ila kijana ww ni waajabu sana sio sili....
.
...well, ww unaweza ona nimeandika pumba kulingana na uelewa wako mdogo.
Kama unafahamu, huwezi kuwa hacker kama huwezi tengeneza hacking tools, na hautaweza kutengeneza hizo hacking tools kama hujui hata kutengeneza software, so kuna vi application siku hizi vinatengenezwa tena kwa kutumia programs nyingine, bila hata ya mtengenezaji kujua computer language, then mtu anajiita hacker kwa ku detect password za mtu.
....i can guarantee even u, don't understand anything.
Bora nimepata cha kuchangia hapa..Aiseee ni siri na sio sili....
Oh boy... Kuwa hacker sio lazima utengeneze your own tools, ambao wanatumia tools za wenzao wanaclass yao katika hacking society, Script Kiddies... Lakini sio kwamba hawa hawana damage... wanayo damage...
...well, ww unaweza ona nimeandika pumba kulingana na uelewa wako mdogo.
Kama unafahamu, huwezi kuwa hacker kama huwezi tengeneza hacking tools, na hautaweza kutengeneza hizo hacking tools kama hujui hata kutengeneza software, so kuna vi application siku hizi vinatengenezwa tena kwa kutumia programs nyingine, bila hata ya mtengenezaji kujua computer language, then mtu anajiita hacker kwa ku detect password za mtu.
....i can guarantee even u, don't understand anything.
...kajieleza namna alivyo hack, hizo namna kazi copy katika forums zinazo discus infotech, hana utaalamu huo, na ninajua bongo hackers hakuna, namaanisha wabongo wenyewe mtu akiwa software developer anahis amekuwa hacker, hacking is not something u heard
Script kiddie ni watu ambao kiuwezo hawajawa ma-programmer wa kuweza kutengeneza software zao wenyewe kwa ajili ya hacking, ila wao hutegemea sana software kutoka kwa proffesional programmer wanaotengeneza software kwa ajili ya hacking, mfano wanaweza wakatengeneza software fulani kwa ajili ya kupiga simu pasipo malipo, wewe ambaye hujahusika kutengeneza unaweza ukaitumia kukwepa kulipia gharama za simu, kumbuka hapa wewe utakuwa hacker lakini utaitwa script kiddie hacker kwa sababu huelewi hiyo software imetengenezwaje (program codes) zaidi ya kuitumia
Mkuu ukiachana na hawa wanaojiita black hacker na white hacker, wapo wanaojiita kwa majina yao mengi tu na kila mmoja ana lengo lake, hawa wanaojiita back hacker (black hat) wao kazi yao kubwa ni kuharibu security system kwa manufaa yao wanayoyajua wao pindi wanapotaka kufanya hacking i.e wanapofanya hacking kwako mwisho wanataka wafaidike na nini!?. Na mara nyingi hawa ndio crackers
Kuhusu white hacker (white hat) hawa wao huwa wanafanya hacking ya security system kwa ajili ya kupima uwezo wa hiyo security system, mfano unaweza kutengeneza software yako yenye security system ili kuilinda watu fulani wasiweze ku-access vitu fulani pasipo na ruhusa yako, sasa ili kupima uwezo wa hiyo security yako unawaita hao jamaa ili waweze kuifanyia hacking ili uweze kujua mapungufu ya security system yako, hii mara nyingi huwa inaitwa ethical hacking
Niishie hapa ila kama kutakuwa na wadau wengine wataongezea wanachojua wao
Aya sasa ngoja niulize swali linalotouch wengi..
Vipi security system ya Jamii forums..??
It's my account safe hapa...??
Hivi hiyo kuhack unafanyeje? Maana mie naitaka sana kujua jins ya kuhack hasa accaunt za mitandao za my wife.
.
Ask yo self for how many years, you have been using jf?
.
And is there any personal secret of your account have been leak???...
.
There after you should confirm if you're safe or unsafe
.
No inawezekana nisiwe mimi labda kwa sababu ni small fish ila kuna watu wakubwa na wenye influence sana humu JF. Wasiwasi wangu ni are they safe..??
Afu kitu kingine correct me if wrong si mtu anaweza hack mambo yako pasipo yalikisha info zako...what I mean hear kwa mfano humu JF is it possible mtu akajua your true user name ka unatumia fake one...??
Pili akajua labda device unayoitumia na uko eneo gani..??
Ka anauwezo wa kugundua vyote hivyo I feel like we are not safe here na si lazima kusikia ka your informations have leaked ndio kujua your not safe..
Ebu clear my doubts katika hili wadau
namruhusu pia a hack site yangu
Welcome to Joe Nyandigira's Official website. aweke chochote anachotaka ili niamini. nampa mwezi iyo homework. akiweza anidai laki
Will Be Back in a Momentstay Tuned
Will Be Back in a Momentstay Tuned