sasa ww unataka umpe account yako ipi gmail,fb ama ?? Hizo ni mitandao mikubwa obviously loopholes zake lazima uwe advanced hacker levo nyingine kabisa
Hivi hiyo kuhack unafanyeje? Maana mie naitaka sana kujua jins ya kuhack hasa accaunt za mitandao za my wife.
Mkuu I can help you lakini inabidi upimwe akili kwanza ili usije ukaua mtu....... Unaweza ukafa kwa presha au ukaua mtu kwa hasira
Kwani wanaoua ni wasio na akili tu?
Na kufa kumeumbwa hata nisipokufa kwa presha hata kwa kulala tu naweza kufa.
ever seened??? umejifanyisha au ndo uwezo wako ulipofikia?? yy amemuuliza nikupe account yangu uihack embu nitajie account zinazopatikana kwenye website??.
Heee wewe upo dunia gani wew
.
Ana hack account siyo fb website
.
Tena ni easy ever seened
.
.
nini weweeee nataka shiny c anioneshe umahiri wake... tena nampa pesa bureee
kwanza huo muda nitaupata wapi?.
shiny c wewe sio hacker. huna sifa za kuwa hacker. wewe ni script kiddie
ever seened??? umejifanyisha au ndo uwezo wako ulipofikia?? yy amemuuliza nikupe account yangu uihack embu nitajie account zinazopatikana kwenye website??
.
Ulichokiandika pale juu umekiona au????
.
Unaposema fb na gmail ni mitandao mikubwa ku hack inabidi uwe advanced hacker una maana gani?????
.
.
.
Kwa nia njema tu kiongozi
.
Toa red hiyo
.
.
umeogopa?
Ni majuzi juzi tu nlianzisha thread kwamba inabidi tanzania tujiupgade kwenye techs kwa njia ya kuhack, well nkapost topic inayohusu site ndogo tu nliyohack hata sekunde kumi hazijapita thread ikafutwa , nkakaa mezani nkafikiria hivi nikipata loopholes kwenye site za tz na nkienda kuziripoti itakua dili , mzee mzima nkaingia mzigoni na brand new kali linux nkaanza kusearch loopholes na kujaribu kuziexploit nikazinotedown fasta fast nkang'oka mbio kwenda ofisi husika ya shirika nliloweza kupata matundu, mwanzoni nmefika pale secretary ndo kwanza hata hajui maana ya kuhack bahat nzuri mkubwa flan akasikia then akanifata nlienda na laptop yangu na nkamwonyesha jinsi itavyokuwa wasipoziba sio siri alikua surprised akapiga simu kwa kijana wake wa i.t akaja mbio kuhakiki maana alikua ni mbishi mno kafika pale nae anatoa macho tu ndo kwanza hata kali haijui well tukafix mambo palepale nkapelekwa ofisi zao za uhasibu chap chap nkapewa kitita cha laki 2 nae jamaa wa i.t akaniita palepale akanipa 50 jumla ikawa 250 k na kiukweli nilifurahi sana maana nimefumbuliwa macho kuwa kipaji changu cha kuhack kinaweza kuwa bonge la dili
.
Ukiwa na maana gani?????
.
.
ever seened??? umejifanyisha au ndo uwezo wako ulipofikia?? yy amemuuliza nikupe account yangu uihack embu nitajie account zinazopatikana kwenye website??
.
Heee wewe upo dunia gani wew
.
Ana hack account siyo fb website
.
Tena ni easy ever seened
.
.
shiny c anamjua? nafikiri haya mambo hayapimwi kwa namna hii...
...kajieleza namna alivyo hack, hizo namna kazi copy katika forums zinazo discus infotech, hana utaalamu huo, na ninajua bongo hackers hakuna, namaanisha wabongo wenyewe mtu akiwa software developer anahis amekuwa hacker, hacking is not something u heard
ngoja niachane nae coz haelewi anchokifanya wala anachokihoji,kila site diuniani inaweza ikawa hacked,as long as una mautundu ya kutosha.thats it,ila kwa website kubwa kubwa inakupasa uwe mwerevu kupindukia coz na wenyewe wanaajiri systeme susecurity wenye uelewa mpana na experience ya kutosha...huyu jamaa punga kweli, kiingereza chenyewe makande "ever seened" alafu anataka kujidai kuwa anafaham hata maana ya ku hack, na amekariri fb ndo site pekee, hizi simu zinazokuja pre-installed with fb app zinawapumbaza wengi
...mkuu, hivi fb website ninini kwani, na account ninini vile, mi najua akaunti ni kama zile za CRDB n.k. au kuna account nyingine kulingana na ufafanuzi wako hapo juu