Jinsi dunia inavyoendeshwa

Jinsi dunia inavyoendeshwa

Madam ndio unajua leo?
hata hizi vita zote ni planned, yani kuna watu ndio wanachezesha haya mambo na lengo kuu nadhani unalielewa kama ni maomaji wa BIBLE.
Naelewa ili sikujua we are this far😒
 
ilikuaga inachapwa kwenye gazeti fulani miaka ya nyuma. Ni stori ya kutaka uwe na akili timamu ndio utaelewa
Story yake ni ndefu sana hata humu kuna mdau aliwahi kuifafanua kwa urefu kidogo ipo humu humu
 
Sio kila conspiracy theory ni ya kuaminika
Ukiwa mtu wa kutafakari na kuunganisha matukio unaelewa ila ukiwa mtu wa kusikiliza tu na bendera kufuata upepo hautaelewa kitu.
Ukiunganisha dots kuna kitu kinamake sense.
Angalia kwa mfano wasanii wetu lifestyle wanayoishi,pesa wanazospend haziendani na kazi wanayofanya halafu baadae wakishatolewa kwenye mfumo wakiumwa wanaomba michango ya hela ya dawa wewe huoni hapa kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia?
 
Ukiwa mtu wa kutafakari na kuunganisha matukio unaelewa ila ukiwa mtu wa kusikiliza tu na bendera kufuata upepo hautaelewa kitu.
Ukiunganisha dots kuna kitu kinamake sense.
Angalia kwa mfano wasanii wetu lifestyle wanayoishi,pesa wanazospend haziendani na kazi wanayofanya halafu baadae wakishatolewa kwenye mfumo wakiumwa wanaomba michango ya hela ya dawa wewe huoni hapa kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia?
Yeah upo sahihi . Na nimekuelewa..Sasa wengine wanabeba conspiracy bila tafakuri ya kina. Hawana muda wa kushirikisha Bongo zao
 
Yeah upo sahihi . Na nimekuelewa..Sasa wengine wanabeba conspiracy bila tafakuri ya kina. Hawana muda wa kushirikisha Bongo zao
ooh hapo sawa nimekuelewa wanabeba kama ilivyo na kusambaza umbea bila reasoning.
 
Back
Top Bottom