Aen Urner
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 380
- 376
Jamani swali langu ni hili;
Kwa mfano applicants wawili wakaomba kozi moja tuseme Electrical Engineering
QUALIFICATIONS::
Applicant A: akawa ana Div I point 7
Phy-C Chem-A Math-C
Applicant B: akawa ana Div I point 7
Phy-C Chem-C Math-A
Je kati ya hao nani ataanza kuchaguliwa kabla ya mwingine kwa kuangalia necessary requirements katika kozi husika?
Natanguliza shukurani zangu kwenu*
Kwa mfano applicants wawili wakaomba kozi moja tuseme Electrical Engineering
QUALIFICATIONS::
Applicant A: akawa ana Div I point 7
Phy-C Chem-A Math-C
Applicant B: akawa ana Div I point 7
Phy-C Chem-C Math-A
Je kati ya hao nani ataanza kuchaguliwa kabla ya mwingine kwa kuangalia necessary requirements katika kozi husika?
Natanguliza shukurani zangu kwenu*