Petrol Tank
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 205
- 350
Jino langu lina tundu japo bado haliumi, nifanyaje?
Dawa ya jino kung'oa.Jino langu lina tundu japo bado haliumi, nifanyaje?View attachment 914808
Nyie watu mnautan wa ngum sana aitheeeeHuo mdomo ni wako???
Any way nenda hospital utapata msaada zaidi
Hahahaahahaha nilitaka kujua tu teh tehNyie watu mnautan wa ngum sana aitheeee
Ah ah ah ah ah ah
Nina dawa ya kienyeji ya kusukutua ambayo itaua backteria wote na kucha jino lako salama. usipende kung'oa meno kila mara kwani yakiisha utabaki kibogoyoJino langu lina tundu japo bado haliumi, nifanyaje?View attachment 914808
Daah nimefikaje apaAcha nisiandike kitu.
Ila jamani madaktari na manesi MUNGU awabariki.