Jini mahaba na virusi vya UKIMWI

Mkuu haya uliyoayaandika umeyaandikwa kwa misingi ya Biblia??

Yesu alipowatoa wale pepo kwa yule Mgerasi hakuwauliza jina lao wakasema wao ni jeshi??
Yesu hakuwa na huo uelewa kuwa Shetani ni muongo na baba wa uongo??

Vipi wale vijana wawili wa Skewa wakati wa mtume Paulo walipojaribu kumtoa pepo pepo akatakaa kutoka na akasema Paulo tunamjua na Yesu tunamjua??
Huo ulikua uongo??

Pepo akiwa chini ya kibano cha jina la Yesu huwa hadanganyi....
 
...mkuu sina uhakika juu ya jini kuambukiza ukimwi, bali ninauhakika kwa 100% kuwa upo ukimwi na magonjwa kama cancer, moyo n.k ya kupandikizwa kwa uchawi au kimajini....
Nadhani ni aina yote ya maradhi yanaweza kupandikizwa kichawi.
 
Nina wasiwasi inawezekana anayerekebisha ni jirani yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…