Jini ndie lucifer,hawa ndio viumbe vya Mwanzo kuja humu duniani kabla ya Binadamu,kwenye kitabu kimoja ch dini huwaita MAJITU.hata wanasayansi wa chuo kikuu cha MASSACHUSETTS nchini marekani walifanya utafiti wao na kuuchapisha kwenye kitabu walichokiita"the mystery planet"mwaka 1989,ukisoma hicho kitabu utagundua Kuwa majini ni viumbe waliopata kuishi kimwili na kiroho hapa duniani,sababu ya wao kutoonekana kirahisi siku hizi ni kwa ajili ya kujihami,asili imewabadilisha baada ya mwanadamu kuiteka dunia!