Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,111
Msanii Miriam Jolwa (Jini Kabula) ameonesha kukasirika sana kutokana na vifo mfululizo vya wasanii .Kabula hakusita kuvihusisha vifo hivyo na imani za kishirikina huku akitoa maneno makali kwa baadhi ya wasanii wanaoongoza kutoa kafara wenzao ili wafanikiwe katika kazi zao za sanaa.
Kabula ameyasema haya muda mchache baada ya msanii Ommy Dimpoz hali yake kuwa mbaya kupitiliza hivyo basi Kabula akaamua kukinukisha kwa wasanii wenzake waache kurogana na kuuana kisa mafanikio ya kisanaa ,badala yake wajikite katika kufanya kazi kwa bidiii na sio hiyo tabia ya kutembelea nyota za watu na mwisho wa siku kuuana kabisa.
Kabula alipotafutwa kujibu tuhuma hizo alikuwa mkali sana na kudai hataki mahubiri ya aina yoyote ,yeye akishasema amesema.
Kabula ameyasema haya muda mchache baada ya msanii Ommy Dimpoz hali yake kuwa mbaya kupitiliza hivyo basi Kabula akaamua kukinukisha kwa wasanii wenzake waache kurogana na kuuana kisa mafanikio ya kisanaa ,badala yake wajikite katika kufanya kazi kwa bidiii na sio hiyo tabia ya kutembelea nyota za watu na mwisho wa siku kuuana kabisa.
Kabula alipotafutwa kujibu tuhuma hizo alikuwa mkali sana na kudai hataki mahubiri ya aina yoyote ,yeye akishasema amesema.