Unamaana gani mkuu, kwamba sisiemu Ina mwili au? SIEMPRE TanzaniaWizi ndani ya CCM upo kwenye damu kabisa na si vingine
CCM inafuga wiziUnamaana gani mkuu, kwamba sisiemu Ina mwili au? SIEMPRE Tanzania
Mwenyekiti habadiki sasa kaanza mchongo wake anadai alipiwe vibali vya chopa!CCM inafuga wizi
Mbona wewe mume hubadilishi?Mwenyekiti habadiki sasa kaanza mchongo wake anadai alipiwe vibali vya chopa!
Ooh!CCM inafuga wizi
Aisee ndiyo maana alipigwa risasi kama jambazi kumbe alimchafua rais kwa kumzunguka rais JK ili mabilioni yalipwe, dah vitu vingine huwa tunamsingizia JK bure. Nimeamini JK ni mzalendo sanaMh Lissu alisema sana bungeni juu ya huu wizi lkn Serikali yetu ilikaa kimya.
Leo hii wabunge wachache wa CCM iwe kwa kupanga au wameamua kujipambanua ndiyo wanaanza kuona huu wizi?
CHADEMA imejaliwa kuwa na viongozi wenye akili na kulitetea taifa.
View attachment 2805548
Nimebadili mke mwenzangu punguza wivu!Mbona wewe mume hubadilishi?
Basi sawaNimebadili mke mwenzangu punguza wivu!