ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,021
- 1,978
Faru Elizabeth Ni mke wa faru john!! hivyo tusubiri episode ifuatayo
Huu ubatizo wa faru mbona unapitaga kimya kimya tunaarifiwa misiba tu?Faru Elizabeth Ni mke wa faru john!! hivyo tusubiri episode ifuatayo
Ni juzi tu mkurugenzi alikuwa ndani na kesi bado haijakwisha, tujue mipaka jamani.Na wemezaa mtoto anaitwa Faru Jesca
hujitambui that's whyUdini huu mmnhh!!?
kinacho nistaajabisha ni kwamba huyu Faru John na Mkewe Elizabeth kwanini wana majina ya kigalatia?Faru Elizabeth Ni mke wa faru john!! hivyo tusubiri episode ifuatayo
kinacho nistaajabisha ni kwamba huyu Faru John na Mkewe Elizabeth kwanini wana majina ya kigalatia?
majina ya kibantu haya hadhi au
kinacho nistaajabisha ni kwamba huyu Faru John na Mkewe Elizabeth kwanini wana majina ya kigalatia?
majina ya kibantu haya hadhi au
swali lako gumu Atiii!! laiti swali hilo lingekuwa mtihanini mi ningeferi vyookinacho nistaajabisha ni kwamba huyu Faru John na Mkewe Elizabeth kwanini wana majina ya kigalatia?
majina ya kibantu haya hadhi au
https://www.jamiiforums.com/members/numbisa.403420/ Udini uko wapi? au nyie ndo hamuwezi ishi bila kukashifu dini za wenzenu!! Acha ujinga
Mipaka gani?Ni juzi tu mkurugenzi alikuwa ndani na kesi bado haijakwisha, tujue mipaka jamani.
Halafu nasikia chanzo cha kuuawa faru john ni kuwa alikuwa anachapia faru wenzake ikabidi fumanizi lifanyike ndo wakaamua kumpoteza ili kuleta amani!Huu ubatizo wa faru mbona unapitaga kimya kimya tunaarifiwa misiba tu?
Ninasikia alikuwa kiwembe vibaya sana.Halafu nasikia chanzo cha kuuawa faru john ni kuwa alikuwa anachapia faru wenzake ikabidi fumanizi lifanyike ndo wakaamua kimpoteza ili kuleta amani!
Hata komnio na kipaimara hamkuarikwa????Huu ubatizo wa faru mbona unapitaga kimya kimya tunaarifiwa misiba tu?