Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
si ndiyo huyu aliyepiga marufuku 'kinywaji' chetu?
Kumbe ni yeye?si ndiyo huyu aliyepiga marufuku 'kinywaji' chetu?
Una uhakika au unafurahisha barazaWakuu tulieni data za huyu Dkt.Kibwengo zipo za kutosha..ngoja patulie kidogo tuweka mambo hadharani..kiufupi wazazi wake ni wakimbizi kutoka Burundi
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii, lakini kwenye vyeti hana shida au?! Yeye alizaliwa hapa au Burundi? Nina haraka Mavipunda kama mkojo wa asubuhi hebu mwaga bwana tuifurahie JFWakuu tulieni data za huyu Dkt.Kibwengo zipo za kutosha..ngoja patulie kidogo tuweka mambo hadharani..kiufupi wazazi wake ni wakimbizi kutoka Burundi
Kumbe ni yeye?
Ngoja tupate DATA zake pale Nzega,yanakopaki malori,kuna waTanga ambao watatujuza mengi.
Then
Tutammwagieni
Bashite's Zone
Kwenye hili hata kijana wakisomali Bashe atatusaidia sana bahati nzuri Bashe aliomba uraia wa TZ akaupataUwiiiiiiiiiiiiiiiiiii, lakini kwenye vyeti hana shida au?! Yeye alizaliwa hapa au Burundi? Nina haraka Mavipunda kama mkojo wa asubuhi hebu mwaga bwana tuifurahie JF
hapa huwaga hakuna umbea kama Insta.. fact zipo MkuuUna uhakika au unafurahisha baraza
Mkimbizi? Naanza kuichunguza ile pua yake!Wakuu tulieni data za huyu Dkt.Kibwengo zipo za kutosha..ngoja patulie kidogo tuweka mambo hadharani..kiufupi wazazi wake ni wakimbizi kutoka Burundi
hapa huwaga hakuna umbea kama Insta.. fact zipo Mkuu
Salaam Dr. Ukiweza jibu pia tuhuma za kwenye ripoti ya CAG.Kuna watu wengi sana humu wamewahi kusoma na au kufanya kazi na mimi sehemu mbalimbali, wanaweza kukupa majibu mengine na ya ukweli na uwazi zaidi kuhusu mimi na uwezo/uzoefu wangu wa uongozi, kuhusu credibility n.k., n.k.
Ukitaka kujua zaidi kuhusu mimi na kutoka kwangu, nipigie kwenye namba za simu zilizopo kwenye blogu yangu
Regards,
H.K.
Salaam Dr. Ukiweza jibu pia tuhuma za kwenye ripoti ya CAG.
P