Jina la nchi yangu please wana JF

The Listener

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
993
213
Toka nizaliwe nimekuta nchi yangu ikiitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimekuwa nikifirkiria sana kuona kama ni sawa au la. Mi nilidhani Kuwa Nchi hii ingeitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwani si muungano wa Tanzania. Na wala hili si ajabu ukichukulia mfano wa Serbia na Montenegro na nchi nyinginezo.
 
Hili suala limejadiliwa weee himu ndani hadi tumechoka. Hatutaki tena kusikia kitu kinachoweka neno MUungano katikati tunataka Jamhuri ya Tanganyika. Hayo mengine sijui ya Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya watu wa Zanzibara na Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ama Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayana tija tena.
 
Hili suala limejadiliwa weee himu ndani hadi tumechoka. Hatutaki tena kusikia kitu kinachoweka neno MUungano katikati tunataka Jamhuri ya Tanganyika. Hayo mengine sijui ya Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya watu wa Zanzibara na Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ama Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayana tija tena.

Naam, umesema vyema!!
 
Hili suala limejadiliwa weee himu ndani hadi tumechoka. Hatutaki tena kusikia kitu kinachoweka neno MUungano katikati tunataka Jamhuri ya Tanganyika. Hayo mengine sijui ya Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya watu wa Zanzibara na Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ama Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ama Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayana tija tena.

Mi nazungumzia jina la nchi na wala sizungumzii details za ama muungano uwepo au usiwepo (topic hizi nimeziona sana na wala sikutaka kuzirudia rudia). Mi nataka kujuzwa tu kuhusu jina na wala si vinginevyo Generali Kimbunga.
 
Toka nizaliwe nimekuta nchi yangu ikiitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimekuwa nikifirkiria sana kuona kama ni sawa au la. Mi nilidhani Kuwa Nchi hii ingeitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwani si muungano wa Tanzania. Na wala hili si ajabu ukichukulia mfano wa Serbia na Montenegro na nchi nyinginezo.

Yap kama ilivo kwa UK - The United Kingdom of Great Britain and Nothern Ireland. Jina refu ndo maana wakaita UK kwa kifupi. Na sisi jina lingekuwa refu lakini kifupi chake basi ndo kingekuwa Tanzania ila jina kamili The United Republic of Tanganyika and Zanzibar!!!

nice one The Listener. But is there anyone listening?
 
Back
Top Bottom