Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Doriani mkuu!View attachment 442181 mwemye kujua jina la hii kitu naomba msaada tutani
Hayo matinda ni noma yanaongeza nguvu za kiume
Vipi kwani sijakusoma bado.
Hata me nayapenda sana matinda mkuuHayo matinda ni noma yanaongeza nguvu za kiume
We ni dawa ya fangasi tena ile fangasi cronic aisee duh!Kama una upungufu wa nguvu za kiume kula hayo matunda....
Nguvu za kiume siku hizi imekuwa too much, kitu kidogo nguvu za kiume, kila kitu nguvu za kiume. Kuna nini?Hayo matinda ni noma yanaongeza nguvu za kiume
Hahahaaaa Mkuu stafeli halipo hivo,ila ni jamii ya hiyo makitu na matamu snSitafeli....
Komamanga hiloHahahaaaa Mkuu stafeli halipo hivo,ila ni jamii ya hiyo makitu na matamu sn
Kwa kule zanzibar ukipita njia ya mwera mpaka mpapa utokee upenja hata bila kuyaona utaskia harufu yake!Kedekede umetisha sana mkuu