Jina la Edward Ngoyai Lowassa

Jina la Edward Ngoyai Lowassa

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
4,712
Reaction score
11,987
Bila shaka yoyote, Hili ndio jina linalotamkwa na kuandikwa sana kwa kipindi kirefu na hususan kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Tz.

- Kwa jina hili hata gazeti la UHURU linauzwa sasa.

- Kwa jina hili wanaolitamka wanatamka kwa matumaini yao ya kesho.

- Kwa jina hili wapo walioingiwa na hofu ya ni ipi hatma yao baada ya october 2015.

- Jina hili linavuma kwa kishindo.

HONGERA UKAWA HAPA NI VUMBI TU!
 
Bila shaka yoyote, Hili ndio jina linalotamkwa na kuandikwa sana kwa kipindi kirefu na hususan kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa Tz.

- Kwa jina hili hata gazeti la UHURU linauzwa sasa.

- Kwa jina hili wanaolitamka wanatamka kwa matumaini yao ya kesho.

- Kwa jina hili wapo walioingiwa na hofu ya ni ipi hatma yao baada ya october 2015.

- Jina hili linavuma kwa kishindo.

HONGERA UKAWA HAPA NI VUMBI TU!

Edo rais wng
 
Na anawakimbiza mperampera. Wanajaribu kila namna ya kumfikia lakini wanakwama. Lowassa ni baba lao
 
Kweli Kabisa. Mbinu zao ndio Nishati Kwetu - Hapa nikuwakimbiza tu.
 
Ndio raisi wetu. Watu wanatoka povu kumsema yeye walaaaa yuko flexible na anaongea kwa umakini.Kakomaaa kisiasa
 
Back
Top Bottom