Jina baya sijapata kusikia

Jina baya sijapata kusikia

Mada tajwa hapo denchani inahusika

Kuna wakat unaeza kufkir mtu anajina la uani kumbe ndo jina lake la kweli toka amezaliwa, sisemi kina Gudume, Mtanzania kizabizabena n.k ambao wapo humu tuu bali jamii kiujumla

Kuna watu wamepewa majina mabaya na wazaz/walez wao mpaka wao wanajutia (Hii pia ni miongoni 7bu za kuanzishwa kwa nick names), wazazi/walezi/Jamii angalien sana mabalaa mengine mnayapanda wenyewe.. mfno majina kama tabu, chausiku, mkombamboga, maharage, konkii etc

Sababu za kuleta uzi huu, nimektana na jamaa anaitwa Fistula, na yeye yuko comfortable kabisa.. Je wew umekutana na lipi/weka na maana yake
Shaghalabaghala ndivyo ujiitavyo,halafu unaona ya wenzio ya kwako je!!?huna haya wala aibu wewe.ndio mnaocheka misibani badala ya kuhuzunika ama kulia.
 
Mkuu naomba maana ya SHIBUMBU na CHUNYA kwa maana unayoijua wewe
[emoji117]"Shibumbu" [emoji40][emoji40]mahali panapoota PUBIC HAIR mtu akifikia PUBERTY AGE. na [emoji117]"CHUNYA" Kitendo cha kutoa kichwa cha dushe baada ya kuvuta soksi kwa mwanaume ambaye hajatailiwa.
 
Kuna msukuma amehamia huku songea maeneo ya muhukuru amenunua ardhi ekari 300 na alitumia ujanja wa kubadilisha jina ili apate ardhi yote hyo , alipoona kijiji kizima majina yao ni ya wanyama akina komba,,mapunda,ngonyani,nyoka .Yeye akaamua kujiita ngofisi . mpaka Leo amezoeleka hivyo na wakimuuliza kabila lake huwa anasema angalia Nina ni LA asili ya wapi
 
Usishangae mbona weupe wapo kina Bush Kichaka, Moon..mwezi na Brown, nk. Wapo kina Masunga..
Maziwa_, Bujiku.. Usiku ,Nnauye ..Msirudi, nk


Mtalikidonga
Chamtumavi
Kiyavitende
Whitende
Hungwapa
Msugupahulya
 
Back
Top Bottom