mimi sina chama isipokuwa ni mpenda demokrasia. ninachosema mimi ni kwamba ccm hawakuwa na mtu mwingine wa kugombea jimbo la kalenga badala ya kumwita mtoto wa marehemu kutoka uingereza na kumpa nafasi ya kugombea?, na nikatoa mfano wa arumeru kuwa kule nako walimwita mtoto wa mare