Jimbo la uchaguzi la Mlalo

Jimbo la uchaguzi la Mlalo

msimamia kucha

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
769
Reaction score
642
Mimi ni mmoja wa wananchi wa jimbo la Mlalo-Lushoto ninaomba kuchukua nafasi kumkumbusha Mbunge wangu Hassan Ngwilizi (CCM), hadi sasa hakuna ahadi aliyoitimiza hata moja tangu uchaguzi wa mwaka 2010 uishe, yeye hukaa hapa Dar tu na Mkuzi ametusahau kabisa huku Mlalo.

Namuomba mheshimiwa atimize ahadi zote alizo tuahidi wana Mlalo, akumbuke imebaki miezi Mitano tu, asije akaanza kutafuta mchawi. Mlalo tuna utajiri mkubwa wa Madini,Matunda, n.k lakini bado tuko kwenye lindi la umasikini,na hii ni kutokana na tabia ya viongozi wetu kukimbilia Dar sisi wenyewe wananchi tukiachwa hoi.
 
Salomoe elewa kilichoandikwa..jimbo la uchaguzi Mlalo anatakiwa aishi na wananchi wake jimboni kwake sio lushoto...
 
kaka LUSHOTO NI JIMBO na pia makao makuu ya wilaya na pia ni jimbo la uchaguzi pia, kuwa mbunge inakupasa kuishi na wananchi wako jimboni.
 
Lushoto kuna majimbo matatu; Lushoto (Shekifu), Bumbuli (Makamba) na Mlalo (Ngwilizi) kwahio ukiangalia kwa upesi upesi utagundua kuwa kwa watangaza nia hapo kuna Fursa ya kuukwaa Ubunge, acha kulalamika, twende pamoja keshokutwa tukamtoe, tayari tuna matawi kule, let usfugiht usitegemee utokee muujiza wa mabadiliko, we are that change we have been waiting for, we the change!
 
Mlalo hana makazi makazi yake yako mkuzi ambalo ni jimbo la lushoto. Sasa ataishije mlalo?
 
Kama wewe mwenyewe HUJUI hata ahadi alizoahidi mbunge wako (maana hujazitaji)

Je, utawezaje kumdai atimize ahadi ambazo wewe mwenyewe huzifahamu in the first place?!

Kweli JF imeingiliwa na popo bawa.
 
Mkuu Elli ni kweli wakati ni huu, tukamwondoshe ..hili Zee limeshindwa kazi, ni mzigo kwa wananchi sijui alishinda vipi 2015?
 
wewe Salomoe, kwao ni sehemu moja inaitwa Nyasa hapo mlalo, basi hata makazi ya kuishi hana..wananchi wakitaka kumuona wafunge safari mpaka mkuzi? usiongee usilolijua kaka.
 
Mimi ni mmoja wa wananchi wa jimbo la Mlalo-Lushoto ninaomba kuchukua nafasi kumkumbusha Mbunge wangu Hassan Ngwilizi (CCM), hadi sasa hakuna ahadi aliyoitimiza hata moja tangu uchaguzi wa mwaka 2010 uishe, yeye hukaa hapa Dar tu na Mkuzi ametusahau kabisa huku Mlalo.

Namuomba mheshimiwa atimize ahadi zote alizo tuahidi wana Mlalo, akumbuke imebaki miezi Mitano tu, asije akaanza kutafuta mchawi. Mlalo tuna utajiri mkubwa wa Madini,Matunda, n.k lakini bado tuko kwenye lindi la umasikini,na hii ni kutokana na tabia ya viongozi wetu kukimbilia Dar sisi wenyewe wananchi tukiachwa hoi.

Umenena vema sana isipokuwa umeniudhi kitu kimoja tu, kumuomba atekeleze wajibu na deni lake kwa wananchi.

Safina limesha fungwa kwa wana CCM wote, wasubirie tu Jehanamu no option time is over.
 
wewe Salomoe, kwao ni sehemu moja inaitwa Nyasa hapo mlalo, basi hata makazi ya kuishi hana..wananchi wakitaka kumuona wafunge safari mpaka mkuzi? usiongee usilolijua kaka.

Kumbe ziko mkuzi mbili lushoto. Kumbuka anapakana na Mkapa katika makazi yake yaliyoko Mkuzi jimbo la lushoto.
 
Back
Top Bottom