Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Jimbo la Mtama Nape hali mbaya

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
21,203
Reaction score
37,554
Heshima wanajamvi.

Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni MC aka msema chochote wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ni mbaya sana.Taarifa toka jimbo la Mtama zinadokeza Seleman Methew anaongoza kwa mbali sana huku Nape akiachwa nyuma sana.

Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa Kariakoo style zimebaisha Seleman Methew anaongoza kwa 89% huku Nape akiambulia 7.5% tu.Tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni Nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.

Tayari Nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya Late Capt Komba na ushonaji wa sare za CCM chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.

Nawasilisha.
 
umemalizia kwa ushabiki, nahisi ni porojo hizo...
 
Heshima wanajamvi.

Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni MC aka msema chochote wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ni mbaya sana.Taarifa toka jimbo la Mtama zinadokeza Seleman Methew anaongoza kwa mbali sana huku Nape akiachwa nyuma sana.

Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa Kariakoo style zimebaisha Seleman Methew anaongoza kwa 89% huku Nape akiambulia 7.5% tu.Tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni Nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.

Tayari Nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya Late Capt Komba na ushonaji wa sare za CCM chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.

Nawasilisha.
Na hana kazi anayoijua zaidi ya siasa ataishije Nape Nnauye TandaleOne MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
_MG_2523.jpg



Haaa haaaa Nape ameanza rasmi mazoezi ya kupiga kitaa huku Mzee wa kupiga mbizi akipambana na tumba.
 
Nape atahangaika sana na hivi hajawahi kumiliki hata kibanda cha mpesa namuonea huruma maisha yake bada ya 25 yatakuwa ya msoto sana make ccm kitakuwa chama cha upinzani.

Lazima tumgongee kitchen lake.
 
Nape atahangaika sana na hivi hajawahi kumiliki hata kibanda cha mpesa namuonea huruma maisha yake bada ya 25 yatakuwa ya msoto sana make ccm kitakuwa chama cha upinzani.
Nape ana hela nyingi hata akishindwa ataishi. Pesa alizovuna na Kinana kwa kampeni ya kutafuta mawaziri mizigo feki na alizokwapua kwenye kampeni za magufuli hadi akashtukiwa zinamtosha kabisa labda aziharibu mwenyewe kwa kutaka kushindana na ukawa jimboni
 
Habari za siku jamaa yangu Prof Ngongo.

Naomba ufafanuzi kiduchu kuhusu Jimbo la Mtama, UKAWA wamesimamisha wagombea wawili.

Mgombea CUF-katika jimbo la-Mtama, Isihaka Mchinjita.

Na Mgombea wa Chadema jimbo la Mtama, Seleman Methew.

Sasa UKAWA watampigia kura nani?
 
Last edited by a moderator:
Habari za siku jamaa yangu Prof Ngongo.

Naomba ufafanuzi kiduchu kuhusu Jimbo la Mtama, UKAWA wamesimamisha wagombea wawili.

Mgombea CUF-katika jimbo la-Mtama, Isihaka Mchinjita.

Na Mgombea wa Chadema jimbo la Mtama, Seleman Methew.

Sasa UKAWA watampigia kura nani?


Mkuu;

Kwa jinsi ninavyoelewa mimi, lile jimbo la Mtama mwenye mvuto mkubwa ni Mathew. Huyu alikuwa Diwani wa kata ya Vijibweni kigamboni kwa CCM, mwaka huu akaamua kwenda kugombea ubunge huko kwao Mtama. CCM wakamkata jina lake na kumpitisha Nape ambaye si mzawa wa Mtama. Hivyo wananchi walikuwa wanamtaka Mathew agombee kwa tiketi ya CCM, lakini baadaya matokeo ya kura za maoni. Wananchi wakamwambia mathew ajiunge na chama chochote nao watampigia kura huko. ndipo Mathew akajiunga na CHADEMA kisha wananchi walirudisha kadi za CCM zaidi ya wanachama 700.



Hivyo huko Mtama nape pamojana mgombea wa CUF wanajisumbua kwani mwenye mvuto kwa wananchi ni Mathew.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Nape aanze kutafuta shamba kwao Msumbiji; kesi za mashataka dhidi yake kutokana na matusi yake ya reja reja ziko nyingi; hatumuachiii Ng'o!!
 
Kuna bendi imeanzishwa inaitwa Vuvuzela Jazz band anaweza jiunga kama mpiga solo
 
Habari za siku jamaa yangu Prof Ngongo.

Naomba ufafanuzi kiduchu kuhusu Jimbo la Mtama, UKAWA wamesimamisha wagombea wawili.

Mgombea CUF-katika jimbo la-Mtama, Isihaka Mchinjita.

Na Mgombea wa Chadema jimbo la Mtama, Seleman Methew.

Sasa UKAWA watampigia kura nani?

Wote wanasimama kugombea Ubunge jimbo la Mtama na leo walikuwa na mkutano hao wagombea Ubunge jimbo la Mtama lakini wa Chadema hajatokea. Ila hapo naona Nape anapita katikati wenyewe wanaita winga Tereza anaenda kuchukua jimbo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom