Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,203
- 37,554
Heshima wanajamvi.
Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni MC aka msema chochote wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ni mbaya sana.Taarifa toka jimbo la Mtama zinadokeza Seleman Methew anaongoza kwa mbali sana huku Nape akiachwa nyuma sana.
Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa Kariakoo style zimebaisha Seleman Methew anaongoza kwa 89% huku Nape akiambulia 7.5% tu.Tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni Nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.
Tayari Nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya Late Capt Komba na ushonaji wa sare za CCM chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.
Nawasilisha.
Hali ya kisiasa ya mjumbe wa halmashauri kuu ambae pia ni MC aka msema chochote wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ni mbaya sana.Taarifa toka jimbo la Mtama zinadokeza Seleman Methew anaongoza kwa mbali sana huku Nape akiachwa nyuma sana.
Kura ya maoni iliyoendeshwa kwa mtindo wa Kariakoo style zimebaisha Seleman Methew anaongoza kwa 89% huku Nape akiambulia 7.5% tu.Tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni Nape amekuwa akisomba watu kutoka maeneo mengine kwa kuhofia mikutano yake kosa watu kabisa.
Tayari Nape amejindaa kwa maisha mapya nje ya siasa,anatarajiwa kujikita zaidi katika biashara hasa za uvuvi,sanaa atakiomba chama chake achukue mikoba ya Late Capt Komba na ushonaji wa sare za CCM chama kinachotarajiwa kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya uchaguzi mkuu 25/10/2015.
Nawasilisha.