Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,715
Unafiki wa u -kibosho na u- uru umezidi kulipasua jimbo la moshi vijijini hususani kwa upande wa upinzani hii ni kutokanana na kujitokeza kwa mtia nia kutokea kibosho kwa chama cha CHADEMA.
Hii imelivuruga jimbo huku wakibosho wakianza minongono ya iwapo watampitisha Lucy Ndesamburo au Antony Komu watawapa ushirikiano wa dhati Jancy au Cyril ambao ni CCM.
Hii ni kutokubaliana na kutokuwepo kwa demokrasia ndan ya CHADEMA hususani wakibosho kuzaraulika.
Hii imelivuruga jimbo huku wakibosho wakianza minongono ya iwapo watampitisha Lucy Ndesamburo au Antony Komu watawapa ushirikiano wa dhati Jancy au Cyril ambao ni CCM.
Hii ni kutokubaliana na kutokuwepo kwa demokrasia ndan ya CHADEMA hususani wakibosho kuzaraulika.