milito23
Member
- Jul 12, 2015
- 87
- 15
Je, unafahamu nini kuhusu jimbo la Monduli? na mengi sana ya kuzungumzia ila leo tuzungumzie hili swala lililopo Monduli ni Jimbo la mgombea wetu Urais kwa tiketi ya CHADEMA uko upande wa UKAWA.
Ni Jimbo lenye Takribani wapiga kura 79 elfu, Jimbo hili lina kata 20 na vijiji visivyopungua 64 utaona jinsi ganI jimbo hili lilivyo. Unataka kujua kuhusu watu wa Monduli katika ubora wao, Unaweza kufikili kuwa CCM haipo Monduli hapa unaweza kufikili kuwa hakuna watu wenye mapenzi na chama tawala wapo kama sisi tuliokuwepo CHADEMA tangu na tangu hata kabla ya nguvu ya mabadiliko. Wimbi la mafuriko ila ulikuwa akuna uhuru wa kuzungumza ba kuiponda CCM kipindi iko ujasili utautoa wapi?
Je unamjua mtu ambaye muda mwingi umnyima Mh. Lowassa usingizi ni mtu moja wanamuita Sanaleeh, kama nitakuwa sijakosea jina lake ila atakumbuka pia kilichomkuta Sanalee katika kura za maoni ilikupata tiketi ya kugombea ubunge, anayejua hata twambia ila ukijua utafurai na kuamini siasa mchezo mchafu.
Mama aliniambia siasa si kama unavyoona kwenye vyombo vya habari na kusimuliwa ila ni mchezo mchafu sana ilifika mbali kusema kuwa hata kwenda kuwa kinyume na Mungu na kutokuwa na hofu ya Mungu lengo letu ni kujua.
Je, kuna CCM Monduli kama watu wanavyoamini kuwa mabadiliko yapo huku uhuru haukuwepo watu wapo hawana mapenzi ya kweli wala hawajui nini maana ya mabadiliko wana yumbishwa tu kwa kukosa elimu ya uelewa najua ya darasani tumefeli hata ya maisha ya mtaa kujua kizuli na kibaya jamii hii imelishwa unga wa ndele na pepo mchafu kawatembelea, hapa ila kuna wanafiki wengi sana na wasaliti ambao mwisho wapicha wanashuka njiani ila inaweza kuwa nimekosea mimi ila ndicho ninachojua UKAWA tazameni hili kwa macho mawili jimbo la Monduli kuna shida sana, Mwisho wa picha mtasema jimbo limeuzwa.
Unamjua mtu moja anaitwa Namelock mtoto aliyefundishwa siasa na mweshimiwa na watu wengi waliamini kuwa ndio mrithi wa jimbo hili na ni mtoto wa Hayati Moringe Sokoine ila mwisho wa picha kamsaliti mzee na kusimamia msimamo wake naweza nikamsifu kwa ujasili wake na ushupavu wake ila jambo ni moja tu kusahau fadhira alizofanyiwa kwani ilikuwa ni ngumu kukubalika haswa katika jamii yangu ya wamasai ila Mh. Lowassa alimwaminisha na wazee kumkubali tenda wema uende zako sasa hivi ana nguvu sana si wepesi kama tuanvyofikilia Mbunge wa CHADEMA Monduli bado anamapungufu mengi kama wanaomjua na wananchi wengi huzungumza ila mimi si mungu nimuhukumu mtu.
Monduli nguvu ya ziada itumike tusibwatuke na kuangalia mikoa mengine hapa ndipo tusi litakapo patikana na dhamira ya Goal la mkono kutimia ni aibu kupoteza jimbo aswa Monduli.
Kwanini nasema ana nguvu kwanza Namelock binti wa Moringe kuna mtu wanamwita Sanalee ndie mpambe mkuu na anamsahada mkubwa sana kwani ndie anayekubalika vijijini Monduli ni kubwa sio kata za mijini vijijini takribani kata kumi na mbili unategemea nini na vilevle chuki zao binafsi na mwingiliano wa kazi zinapelekea yeye kutojitoa na kubaki CCM na kuwapa nguvu wananchi wengine waliokuwa wakijificha kwa busara za mzee pamoja na hofu ila kuona mkombozi wao na mkombozi na kuamua kuwa uko kutoka na na maneno yake kwa watu na siasa zake chafu na amini kuwa katika majimbo Monduli CCM wanatolea macho sana pamoja na Arusha mjini ndugu siku kumi na 3 tusipoangalia tunaumiah CCM bado ina nguvu na watu wengi ni wanafiki wengine wamechoka kuyumbishwa kwani wanaambiwa hili kesho lile unatualalisha huyu kesho yule tunataka tusimamie misimamo yetu.
Picha tamu sana japo imaelekea kuisha kwa leo tuishie hapa ila tambua mtaji wa CCM ni watu wengi wa vijijini na tusikuowa na elimu.
Jiulize, Lowassa alifanya mkutano Simiyu, ila magufuli amefanya mkutano wa hazara wa ghafla tena wananchi wakiongozwa na Sanaleee pamoja na wazee wakamkabidhi na ku bless tupo pamoja mabadiliko kwanza mengine badaye wengine siju usozetu tutaziweka wapi siasa mchezo mchafu akuna rafiki wa kweli wala hadui wa kudumu kwani ukitaka kujua hilo muulize Sumaye.
Ujumbe wangu: Monduli tuache unafiki tumeamua mabadiliko yawe ya kweli!
Mungu bariki Tanzania, Mungu bariki Monduli.
Ni Jimbo lenye Takribani wapiga kura 79 elfu, Jimbo hili lina kata 20 na vijiji visivyopungua 64 utaona jinsi ganI jimbo hili lilivyo. Unataka kujua kuhusu watu wa Monduli katika ubora wao, Unaweza kufikili kuwa CCM haipo Monduli hapa unaweza kufikili kuwa hakuna watu wenye mapenzi na chama tawala wapo kama sisi tuliokuwepo CHADEMA tangu na tangu hata kabla ya nguvu ya mabadiliko. Wimbi la mafuriko ila ulikuwa akuna uhuru wa kuzungumza ba kuiponda CCM kipindi iko ujasili utautoa wapi?
Je unamjua mtu ambaye muda mwingi umnyima Mh. Lowassa usingizi ni mtu moja wanamuita Sanaleeh, kama nitakuwa sijakosea jina lake ila atakumbuka pia kilichomkuta Sanalee katika kura za maoni ilikupata tiketi ya kugombea ubunge, anayejua hata twambia ila ukijua utafurai na kuamini siasa mchezo mchafu.
Mama aliniambia siasa si kama unavyoona kwenye vyombo vya habari na kusimuliwa ila ni mchezo mchafu sana ilifika mbali kusema kuwa hata kwenda kuwa kinyume na Mungu na kutokuwa na hofu ya Mungu lengo letu ni kujua.
Je, kuna CCM Monduli kama watu wanavyoamini kuwa mabadiliko yapo huku uhuru haukuwepo watu wapo hawana mapenzi ya kweli wala hawajui nini maana ya mabadiliko wana yumbishwa tu kwa kukosa elimu ya uelewa najua ya darasani tumefeli hata ya maisha ya mtaa kujua kizuli na kibaya jamii hii imelishwa unga wa ndele na pepo mchafu kawatembelea, hapa ila kuna wanafiki wengi sana na wasaliti ambao mwisho wapicha wanashuka njiani ila inaweza kuwa nimekosea mimi ila ndicho ninachojua UKAWA tazameni hili kwa macho mawili jimbo la Monduli kuna shida sana, Mwisho wa picha mtasema jimbo limeuzwa.
Unamjua mtu moja anaitwa Namelock mtoto aliyefundishwa siasa na mweshimiwa na watu wengi waliamini kuwa ndio mrithi wa jimbo hili na ni mtoto wa Hayati Moringe Sokoine ila mwisho wa picha kamsaliti mzee na kusimamia msimamo wake naweza nikamsifu kwa ujasili wake na ushupavu wake ila jambo ni moja tu kusahau fadhira alizofanyiwa kwani ilikuwa ni ngumu kukubalika haswa katika jamii yangu ya wamasai ila Mh. Lowassa alimwaminisha na wazee kumkubali tenda wema uende zako sasa hivi ana nguvu sana si wepesi kama tuanvyofikilia Mbunge wa CHADEMA Monduli bado anamapungufu mengi kama wanaomjua na wananchi wengi huzungumza ila mimi si mungu nimuhukumu mtu.
Monduli nguvu ya ziada itumike tusibwatuke na kuangalia mikoa mengine hapa ndipo tusi litakapo patikana na dhamira ya Goal la mkono kutimia ni aibu kupoteza jimbo aswa Monduli.
Kwanini nasema ana nguvu kwanza Namelock binti wa Moringe kuna mtu wanamwita Sanalee ndie mpambe mkuu na anamsahada mkubwa sana kwani ndie anayekubalika vijijini Monduli ni kubwa sio kata za mijini vijijini takribani kata kumi na mbili unategemea nini na vilevle chuki zao binafsi na mwingiliano wa kazi zinapelekea yeye kutojitoa na kubaki CCM na kuwapa nguvu wananchi wengine waliokuwa wakijificha kwa busara za mzee pamoja na hofu ila kuona mkombozi wao na mkombozi na kuamua kuwa uko kutoka na na maneno yake kwa watu na siasa zake chafu na amini kuwa katika majimbo Monduli CCM wanatolea macho sana pamoja na Arusha mjini ndugu siku kumi na 3 tusipoangalia tunaumiah CCM bado ina nguvu na watu wengi ni wanafiki wengine wamechoka kuyumbishwa kwani wanaambiwa hili kesho lile unatualalisha huyu kesho yule tunataka tusimamie misimamo yetu.
Picha tamu sana japo imaelekea kuisha kwa leo tuishie hapa ila tambua mtaji wa CCM ni watu wengi wa vijijini na tusikuowa na elimu.
Jiulize, Lowassa alifanya mkutano Simiyu, ila magufuli amefanya mkutano wa hazara wa ghafla tena wananchi wakiongozwa na Sanaleee pamoja na wazee wakamkabidhi na ku bless tupo pamoja mabadiliko kwanza mengine badaye wengine siju usozetu tutaziweka wapi siasa mchezo mchafu akuna rafiki wa kweli wala hadui wa kudumu kwani ukitaka kujua hilo muulize Sumaye.
Ujumbe wangu: Monduli tuache unafiki tumeamua mabadiliko yawe ya kweli!
Mungu bariki Tanzania, Mungu bariki Monduli.