ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
Huyu jamaa ni mkia wa mbuzi,kashindwa hata kutoa maji Nyamhongoro hadi Kisesa,huyu ni gamba,ila kushindwa kwake,cyo kushindwa kwa CCM,huyu jamaa ni moja ya wabunge wa CCM NISIOWAKUBALI kabisa.
Utaratibu wa bunge ni kwamba,waziri na manaibu mawaziri hawaruhusiwi kuuliza maswali,sasa huyu jamaa siyo waziri wala naibu,ila toka avuliwe unaibu waziri wa fedha,huwa hachangii chochote,nata huwa simuoni,ukute hata bungeni huwa haendi
Wabunge wa ccm utawajua hata changia yao bungeni utawajua 2. Magu walifanya makosa kuchagua mburura lakn ngudu walifanya makosa zaidi
Matatizo ya Magu ni zaidi ya unavyodhani, haya ni kwa uchache wake:TAARIFA KWA UMMA WA MAGU;
Tujiulize mbunge wetu mh.Dr. Limbu kaenda bungeni kutuwakirisha kua hata sisi jimbo letu haliko wazi!au ameenda bungeni kutusemea matatizo yetu kwa serikali ili itutatulie, Nimeaza na maswali manake kunamatatizo mengi sana na ahadi zake hakuna hata moja aliyotekeleza mfano alisema atapeleka umeme toka magu mjini hadi mahaha kupitia Ng'haya,Kabila,Shishani mpaka Mahaha lakin hata dlili hakuna,ataleta maji toka Ziwa Victoria na kusambaza kwenye vijiji mpaka sasa hakuna,atachangia jitihada ya ujenzi wa secondary Mahaha,
hajatoa mchango wowote,ujenzi wa barabara ktk kiwango cha ubora,lakini hajuna,ataboresha hospital ya Magu Mjini,Kabila na Mahaha,hiyo ilikua ni danganya toto ya watu wa Magu,ataboresha soko na minada ya Magu Mjini,Ng'haya Kabila na Maha lakini hilo limekua ndoto za mchana.
JE, WANAINCHI WEZANGU WAZALENDO MKO TAYARI KUIPOKEA HIYO TAARIFA??Kwa mawazo yangu huyu hafai hata kidogo kwa mbunge wetu tena.
Matatizo ya Magu ni zaidi ya unavyodhani, haya ni kwa uchache wake:
1. Asilimia 80% ya vijiji vya Magu hawana maji safi: wakati wabunge wengine wakipigania maji majimboni kwao yeye alikuwa ana smile!!!! Maji ya malambo ndio yanayotumika.
2. Kutokana na kutokuwa na maji safi, Afya za wananchi ni hatari tu, hivyo kutokana na umasikini wamekimbilia kwenye miti shamba na waganga wa kienyeji. Kumbe shida ni maji machafu wanayokunywa nk
3. Hospitali ya wilaya haiwezi hata kutunza maiti??????? Wajawazito wengi wanajifungulia nyumbani ambayo ni hatari. Wilaya hii ina rate kubwa sana ya Vifo vya mama na mtoto.
4. Miundombinu ni balaa, kulikuwa na barabara kwenda Musoma kupitia Lubugu, ilikuwa inatumiwa sana na malori, sasa tunavyoongea imekwisha kabisa haipitiki. Barabara hii ingeweza kusaidia uchumi wa vijiji jirani n.k
5. In short miundo mbinu ya barabara ni zeroooo!!!!!
6. Alama za kufaulu ktk wilaya hii zinazidi kuporomoka na Mbunge wala hajali!!!!
7. Umeme umebaki hadithi ya alfulelaulela; zaidi ya 90% ya vijiji vya Magu hivina umeme mh!
8. N.k
RAI
CCM ni chama sikivu, naamini watayafanyia kazi haya kabla haijawa too late.
Queen Esther
hapo mkuu naona umedanganya huyu jamaa anatokea Nyang'hanga kitogoji cha nyamigumo na si kijiji ulichotaja mimi namfahamu sana hata wazazi wake nilishawahi onana nao miaka 10 iliyopita. kikubwa huyu jamaa anatakiwa apigwe chini hana loloteWalai tena Dr.limbu namfaha si kiundani sana ,swala la elim sana nafaham,na mwabulenga nyumbani kwa napafaham,hadi dogo wake godi namfaham fika.sema tu elimu hiyo iko kwenye akili za .....haiwezekani ukawa na elimu na ukafanya mambo ya ajabu kama hayo,ama kweli unaweza kuwa na elimu bila hekima na busara,kama ccm ni kiatu ambacho hakimfai ya nini kung'ang'ania??hata wakati wa kwanza 1995,alikuja akiwa NCCR-MAGEUZI; Mafisadi wakamrubuni akahamia huko,mwache 2015 tunampiga chini.
huyu jaama kafanya nini cha maana hata kwao mwabuduli kuna nini japo alikuwa waziri wa kwa muda mrefu? kwa kifupi wabunge kwa wilaya ya magu kwa Ng'wanamabawa sawa ila sio huyi kilazi aliyetudidimiza pamoja na huyu ndugu yake hawana jipya nikujisifu tu na ujinga ujingaAliyeitendea haki MAGU ni marehem NG'WANAMABAWA,R.I.P NDO mbunge wa kwanza pamoja na akina ERNEST KISUMO NYANDA, angalau walijitahidi.
TAARIFA KWA UMMA WA MAGU;
Tujiulize mbunge wetu mh.Dr. Limbu kaenda bungeni kutuwakirisha kua hata sisi jimbo letu haliko wazi!au ameenda bungeni kutusemea matatizo yetu kwa serikali ili itutatulie, Nimeaza na maswali manake kunamatatizo mengi sana na ahadi zake hakuna hata moja aliyotekeleza mfano alisema atapeleka umeme toka magu mjini hadi mahaha kupitia Ng'haya,Kabila,Shishani mpaka Mahaha lakin hata dlili hakuna,ataleta maji toka Ziwa Victoria na kusambaza kwenye vijiji mpaka sasa hakuna,atachangia jitihada ya ujenzi wa secondary Mahaha,
hajatoa mchango wowote,ujenzi wa barabara ktk kiwango cha ubora,lakini hajuna,ataboresha hospital ya Magu Mjini,Kabila na Mahaha,hiyo ilikua ni danganya toto ya watu wa Magu,ataboresha soko na minada ya Magu Mjini,Ng'haya Kabila na Maha lakini hilo limekua ndoto za mchana.
JE, WANAINCHI WEZANGU WAZALENDO MKO TAYARI KUIPOKEA HIYO TAARIFA??Kwa mawazo yangu huyu hafai hata kidogo kwa mbunge wetu tena.
Hivi ule mpango wa miaka ile aliahidi kukutafutia bonge la kazi au scholarship ya kwenda kusoma nje uliishia wapi? Isije ikawa umemchukia kwa sababu ya hiyo!
Aliyeitendea haki MAGU ni marehem NG'WANAMABAWA,R.I.P NDO mbunge wa kwanza pamoja na akina ERNEST KISUMO NYANDA, angalau walijitahidi.
Kwa NYANDA sikweli mala ya kwanza alili telekeza jimbo,hakuwai kuludi jimboni