Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Aisee mimi ugali ndio chakulaMkuu ndo heri ya mwaka Mpya siyo? Daah haya ila labda hapo kwenye samaki tutakwenda sawa ila ugali nakulaga mchana kupitisha siku tuu, sina mapenzi ya dhati na 'NGUNA' aka dona
Sent using Jamii Forums mobile app
Bas utakuwa wa huko
Ukipiga hii kitu ukaenda kukutana na mwanamke lazma akupe five star!
Sasa hiyo inapigwa na watu wawili tuUkipiga hii kitu ukaenda kukutana na mwanamke lazma akupe five star!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaUwwii. Mie sio Me ila nimejilamba hasa baada ya kuwaza mchuzi wa kulia hiyo kitu unavyotakiwa uwe na ndimu ya kutosha.
Wewe noma...!Napiga nguna kama hiyo alafu nashushia na chips mayai kama tunda.