Jilambe: Wanaume tu!

Jilambe: Wanaume tu!

Papa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
1,153
Reaction score
1,359
20180914_130930.jpg
 
Mkuu ndo heri ya mwaka Mpya siyo? Daah haya ila labda hapo kwenye samaki tutakwenda sawa ila ugali nakulaga mchana kupitisha siku tuu, sina mapenzi ya dhati na 'NGUNA' aka dona


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwwii. Mie sio Me ila nimejilamba hasa baada ya kuwaza mchuzi wa kulia hiyo kitu unavyotakiwa uwe na ndimu ya kutosha.
 
Back
Top Bottom