JIKO LENYE OVEN LINAUZWA

JIKO LENYE OVEN LINAUZWA

mtimkav

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
1,034
Reaction score
662
Jiko linauzwa
*lina oven na plet mbili kwa juu
*Ni zuri halina matatizo yoyote kwani halijatumika sana(ni kama jipya tu)
*kama unafanya biashara ya keki litakufaa zaidi
*bei ni lakimoja na hamsini 150,
000
*sababu ya kuliuza ni kuwa ninahama
*kwa mawasiliano 0718112243, 0625558625 dar es salaam
56ea49c0cfa3cb8a04c073b3fa91ae83.jpg

b690797ce1bf6d304e666cc29792782b.jpg
 
Back
Top Bottom