Jiko la kuni na hewa itokayo kwenye mapafu

Jiko la kuni na hewa itokayo kwenye mapafu

Pah Amadu

Member
Joined
Feb 16, 2022
Posts
25
Reaction score
20
Inafahamika binadamu na wanyama huvuta ndani hewa ya Oksijeni na kutoa nje hewa ya Kabonidayoksaidi.

Lakini pia inafahamika kwamba hewa ya Oksijeni ndiyo inayosaidia kuwaka kwa moto, na Kabonidayoksaidi hupelekea kwa kuzimika kwa moto.

SWALI:-
Kwanini jiko la kuni likipulizwa na hewa kutoka kwenye mapafu ya binadamu kupitia mdomoni moto huwaka na sio kuzimika??

LEARN to LEARN
 
Ila kweli kuna hoja hapa mkuu, ila nadhani ni ile pushing factor ya upepo kwenda nje
 
Inafahamika binadamu na wanyama huvuta ndani hewa ya Oksijeni na kutoa nje hewa ya Kabonidayoksaidi.

Lakini pia inafahamika kwamba hewa ya Oksijeni ndiyo inayosaidia kuwaka kwa moto, na Kabonidayoksaidi hupelekea kwa kuzimika kwa moto.

SWALI:-
Kwanini jiko la kuni likipulizwa na hewa kutoka kwenye mapafu ya binadamu kupitia mdomoni moto huwaka na sio kuzimika??

LEARN to LEARN
... huwa hewa chafu kutoka ndani mwako ina % ngapi za carbon dioxide? Sidhani kama ni 100% plus inayochanganyika nayo nje pale unapopuliza content ya O inaongezeka.

Unajua mahali penye 100% O moto huwaka instantly? Ndio maana unapopuliza moto hauwaki instantly kutokana na some contents of carbon dioxide from your lungs. Very simple logic.
 
Back
Top Bottom