INAUZWA Jiko Koa kwa elfu 46 tu!

Roho inauma nilinunua 120 😅
Ndiyo Bei yake hiyo. Lakini sisi tunauza 46,000 tu, kwa sababu kampuni yetu imefadhiliwa kwa kiasi kiasi kidogo na shirika la Kimataifa linaloshughulika na utunzaji wa mazingira.
 
Kwa Morogoro mzigo unakufikia BURE, mikoa mingine tunatuma kwa basi
 
Ndiyo Bei yake hiyo. Lakini sisi tunauza 46,000 tu, kwa sababu kampuni yetu imefadhiliwa kwa kiasi kiasi kidogo na shirika la Kimataifa linaloshughulika na utunzaji wa mazingira.
Mnapatikana wapi?
 
Watu wana rohombaya sana! Si umakumbuka hata zile behewa mtumba tuliuziwa moja 2, 500,000,000?
Inasikitisha kwakweli hamna kitu inaumwa kama kitu kuwa overpriced afu hakuna tofauti ya Quality & Quantity na wala haikuwa charity event kusema kuwa kuna msaada nimetoa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…