Jiji limezizima


Ndugu yangu Maganga Mkweli at times tunabidi tuweke siasa na vyama vyetu pembeni tuwe rational and realistic

Nimeongea na ndugu yangu ambae ni staff wa Red Cross Society na ni dhahiri kuwa hali haikuwa njema na ilihitajika kutumia busara zaidi

Kwanza watu walikuwa wakiendelea kuongezeka eneo la mkutano lakini watu walishaanza kuzimia na kufikia hatua hata wao wanazidiwa kuwahudumia

Hivyo ikalazimu washauriane kutoendelea na mkutano maana idadi ya watu inazidi kuongezeka na wanaozidi kuzimia pia wanaongezeka

Na hofu ikawa kama wangeendelea mpaka giza likaanza (ukumbuke Tanga huongoza kwa jua kuzama na giza kutanda mapema sana) hivyo wangezidi hali ingekuwa mbaya thereafter

Ndiyo wakakubaliana asimame tu ashukuru, aombe kura lakini wafunge mkutano wasiendelee

Shabikianeni mambo yenu na mavyama yenu lakini inapofika mahali pa usalama wa Watanzania hili ni muhimu zaidi

#KunaMaishaBaadaYaUchaguzi
 
Last edited by a moderator:
Hatuchagui dini,kama unatafuta wa dini yako hata Magufuri sio mwislam,mpe mwislam mwenzio Hashim Rungwe!Tanzania bila udini inawezekana!
 

Hongereni nyumbani natumai mwaka huu hakuna makosa
 
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.

how old are you?! mbona hata kuandika kiswahili hujui.? wewe ni mkimbizi wa wapi?
 

sidhani kama baadhi ya wanaukawa wanajua kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…