Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,485
- 11,037
Hivi hili suala la harufu mbaya katka eneo la Mswahili(Mkuyuni) viongozi hamlioni? maana ni kero kubwa kwa wakaazi,wafanyabiashara na wapita njia.
Naunga juhudi suala la hawa wakina mama kujishughulisha ili kujipatia kipato ila sehemu wanayofanyia shughuli sio sehemu sahihi maana ni eneo la shughuli nyingi za watu hivyo kuwa na mazingira salama ni jambo jema sana kwa afya za watu ni vyema watafutiwe eneo lingine la kufanya shughuli zao za kuanika uduvi.
Pia upande wa soko mazingira ni hovyo sana yanatia kinyaa kabisa ila utakuta ushuru unakusamywa yaani pesa kwanza ila kutegeneza mazingira salama ya eneo pesa inakotoka sio jambo muhimu sana
Viongozi msikae maofisini tembeeni muone mazingira yasivyo rafiki kwa wananchi.
Naunga juhudi suala la hawa wakina mama kujishughulisha ili kujipatia kipato ila sehemu wanayofanyia shughuli sio sehemu sahihi maana ni eneo la shughuli nyingi za watu hivyo kuwa na mazingira salama ni jambo jema sana kwa afya za watu ni vyema watafutiwe eneo lingine la kufanya shughuli zao za kuanika uduvi.
Pia upande wa soko mazingira ni hovyo sana yanatia kinyaa kabisa ila utakuta ushuru unakusamywa yaani pesa kwanza ila kutegeneza mazingira salama ya eneo pesa inakotoka sio jambo muhimu sana
Viongozi msikae maofisini tembeeni muone mazingira yasivyo rafiki kwa wananchi.