Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
- Thread starter
-
- #41
Mipango ingekuwa matumizi mbona kila mtu ni bilionea!
Hapo kwenye blue, ongezea yafuatayo...
- Tanzania tuna utajiri mkubwa zaidi ya wote hao kwa pamoja (all of them put together)..!!
- Tanzania tulitakiwa tuwe tumeendelea zaid kuliko hao wote kwa pamoja...!!
- Tanzania tulitakiwa tuwe tumeendelea sana kuliko South Africa...!!
Mkuu wangu Mu-Israeli, kuna jambo moja nataka tuwekane sawa kidogo. Je, lengo la uzi wako ni kuonyesha kwamba majirani wanaweza kuliko sisi au la? Maana imekuwa kawaida ya wabongo wengi kusifia majirani hata kama kuna mambo mengi mabovu..Kama unataka mfano wa kuigwa kuhusu miji tafuta miji mizuri.
-Mfano:
Cape Town
Pretoria.
Windhoek
na miji mingine ya maana..lakini huwezi niambia kwamba Kigali ni bora kuliko Dar, tutapoteza nguvu kubishania vitu visivyo na tija..Inategemea na mtazamo wako lakini. Umetaja Nairobi..I live in Nairobi, je, unajua vizuri Nairobi Mu-Israeli?
-Lete picha za Kibera, Mathare, Kamkunji, na maeneo mengine acha kuweka picha za CBD pekeyake.
Times tower ndo jengo refu Kenya nzima, ambapo PSPF tower itazidi urefu wa "times tower", na bado mji unajengwa ..sijui wataka nisemeje?
Naomba kuuliza kuhusu picha za plan ya hiyo miji...
Hiyo miji ikijengwa itakuwa hivyo hivyo kama kwenye picha?,nazungumzia majengo na plan ya bustani,kama ndio...Hayo majengo yote yatakuwa ni ya Serikali au ya watu binafsi?
Nauliza hivyo kwasababu kama yatakuwa ya watu binafsi hao watu wakati wanauziwa viwanja wanaambiwa na aina ya jengo linavyotakiwa?!
Kama yeye alikuwa na plan yake nyingine,asipojenga kama ilo itakuwaje?
Sawa kabisa, ukuaji wa quantity, yes Tanzania tunaongoza.
Tatizo ubora..!!
Angalia Nairobi kwa mfano, jamaa wako juu sana kwa ubora wa barabara (na wala hawana utajiri mkubwa kama sisi).
Check hii ndio Nairobi....
Kule posta (CBD) mbona tayari kuna majumba marefu na mazuri kuliko haya??
mbona hata hawaifikii kigamboni tu ya mwaka 2035?
Kulingana na UN-HABITAT, "Growth of African Cities 2010 - 2025, forecast.", Majiji yanayoongoza kwa kukua ni kama ifuatavyo:
1. Dar -es - Salaam[Tanzania]
2. Nairobi[Kenya]
3. Kinshasa[Congo]
4. Luanda [Angola]
5. Addis Ababa[Ethiopia]
Je, kuna lolote mleta mada[uzi] unataka kusema?