Jihadharini na Oman Air

sio kweli mimi napita sana Seeb Airport hakuna ubaguzi

Hii ngozi nyeusi robo tatu yake huenda ilishalaaniwa na Mungu, haiwezekani evry day wawachukie waarabu tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mleta mada ni mbaguzi sana, na inavyoonekana anawachukia waarabu na uislamu kwa ujumla,, especially waOMAN, nchi ambayo Mtume wetu Muhammad (S.A.W) aliiombea nchi ile na mpaka leo hii nchi ya Oman ni nchi ya amani, watu wake ni karimu sana sana kuliko cc weusi.

OMANI
AMANI
IMANI
 




Huyo ndugu yako + wewe mwenyewe acheni kupanda oman air, ila cc tutapanda kama kawaida, sawa mjomba!!! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Acha kuharibu brand za watu kwa maslai yako binafsi au washirika wako walio kutuma....hakuna kitu kama hicho ndani ya shirika la ndege la oman air wakati % kubwa ya wafanyakazi ni wa oman wenye asili ya tanzania na wanao ongea kiswahi. Ma pilots na wahudumu wa ndani ya ndeni kwa % kubwa ni waswahili huo ubaguzi unao usema umetoka wapi?point hapa ni kwamba you had some irregularities....period
 


Huyu ana lake jambo co bure.
 
Kwanini wakati hata wanawake wetu wanaofanya kazi za ndani wanaf*rwa kila siku na Mabulushi yakipeana zamu na WaOmani.
Haha haha yanawatafuna zetu inabidi na sisi tuwatafune dada zao kinyeo

#bamia_ndefunene
 
Ni kweli Ndo maana members wengi humu jf ID's zao ni za kizungu. Tupendane wenyewe mwisho wa Siku watakubali
 
Mimi abadani Sipandi Omanair yaa nini bana kushindishwa na kahawa chungu na Kaswida mpaka Bangkok

Muislamu mzima unaongea vitu vya kipuuzi ivyo! Unataka miziki na pombe ili uridhike co! Vitu ambavyo Allah ameviharamisha! Ni muislamu wa aina gani wewe ndugu yangu! Mbona mimi nimepanda sana hizo ndege zao cjaona ubaguzi wowote! Muogope Allah ndugu yangu, maisha yenyewe ndiyo haya, mafupi.
 
Write your reply...haina shida tumeshaleta ndege zetu pia
 
Oman air ninaowafahamu,hii ni mpya kwangu.

Nimesafiri nao mara nyingi...sijaona watu wakarimu kama hawa. Kuna siku tuko Oman tunasubiri kuconnect flight, kijana wa Kitanzania alichanganya muda pale airport akaachwa, alilaumiwa kidogo tu then akapewa nafasi ya next flight to London. Nilishangaa

Mimi pia nilishachelewa Airport Dsm, nilivyoona nimekwama kwenye foleni nikawapigia simu...wakaniambia tunacancel then nikapewa tiketi nyingine ya kesho kutwa yake.

Nikikumbuka scenario hizo nashindwa hata kuwasema vibaya.
 
Hili tukio kila mtu ukimwadithia anashangaa sio tukio la kutunga limetokea nikiwa transit hapo airport ya Muscat,
 
Hili tukio kila mtu ukimwadithia anashangaa sio tukio la kutunga limetokea nikiwa transit hapo airport ya Muscat,
Mkuu naona kama maelezo yako yanachanganya.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…