Lujula S
New Member
- Mar 29, 2021
- 1
- 2
Mtanzania kuwa makini na Hawa wezi wanaojiita AFRICELL CAPITAL INVESTIMENT wanasema wanafanya biashara ya kuwekeza hela na unalipwa 100% ya hela uliowekeza ndani ya siku 3, wanasema wamesajiliwa na BRELA, TCRA, na TRA, kumbe hizo nyaraka zao ni feki na pia wanasema makao makuu Ni mwanza.
Kampuni halali ya Africell makao makuu Ni London, na website yao halali Ni www.africell.com, na hii kampuni haifanyi shughuli hio. Kuwa makini mtanzania
Kampuni halali ya Africell makao makuu Ni London, na website yao halali Ni www.africell.com, na hii kampuni haifanyi shughuli hio. Kuwa makini mtanzania