Kuna vijana wanao fanya kazi vodashop morombo ni waizi wa kutupwa. Unatoa laki moja wanakupa noti tisa za elfu kumi na noti moja ya elfu mbili. Unapo hesabu unawaambia mbona umeniwekea noti ya elfu mbili na si elfu kumi, watakwambia sisi si wajinga tumekupa hela zako kamili.
Pia kuna watu wanalalamika sana kuwa unaweza fika hapo ukachanganyiwa na noti fake. Vodacom Tanzania mnaharibiwa jina.
Pia kuna watu wanalalamika sana kuwa unaweza fika hapo ukachanganyiwa na noti fake. Vodacom Tanzania mnaharibiwa jina.