RED BULL
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 697
- 579
Mkuu Mimi Nina kimstari katikati ya kidole cha shahada mkono wa kushoto pekee lakini huwa nasikia maumivu japo si wakati wote upande huu wa Moyo na wakati mwingine nguvu hupungua na kurudi kawaida. Je kuna uhusiano wa haya maumivu na huu mstari? Toka nazaliwa alama ilikuwepo.