Jihadhari Na Mwenye Hii Namba

Jihadhari Na Mwenye Hii Namba

Meseji kama hiyo alitumiwa mke wangu mara mbili wakati tofauti nikajibu kupitia simu ya wife ifuatavyo " Kesho saa mbili na nusu asubuhi jipeleke mwenyewe Central Police ukiwa na shahidi mmoja kutana na afande.....(nikataja jina feki) ukimkosa jieleze kosa lako pale front desk waandike maelezo.Usipokwenda nitakupata ndani ya masaa matatu na sitokupa nafasi ya msamaha kwa utapeli wako wa muda mrefu"

Nadhani tumbo lilimsokota hapo hapo:loco:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom