๐—๐—ถ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ณ๐˜‚ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

๐—๐—ถ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ž๐˜‚๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ณ๐˜‚ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ผ๐—ธ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250422_171304_0000.png


Jihadhari sana unapotumia Whatsapp wahalifu wa mtandaoni wamekuja na mbinu mpya ya kudukua taarifa za watu kupitia Whatsapp.

Uhalifu huu ulianzia mwaka 2019 wahalifu walikua wanatumia mfumo wa video calling kukutumia kirusi kwenye kifaa chako na kuweza kukuibia taarifa mbalimbali kwenye simu yako.

Sasa Whatsapp wameleta mbinu nyingine ya kuiba taarifa za watu na kusambaza virusi kupitia njia ya voice call chati zilizopo kwenye group, ambapo wanatumia mfumo wa kutengeneza group voice calls.

2_20250422_171304_0001.png


Wahalifu wanaweza kuingia kwenye group la kikundi chenu kisha akajifanya kama member wa group kisha ataweza kujiunga na groups video call / voice call kisha ataunda link ambayo ukijiunga voice call utaombwa six digit utakazotumiwa kwenye Whatsapp yako sasa kama utajaza hizo taarifa muhalifu ataweza kuingia kwenye akaunti yako na kuifanya atakavyo.

Virusi hivyo vinafanya kazi ikiwa Mtumiaji ataweza kupokea ujumbe wq kujiunga kwenye voice chati ya kikundi halafu akakubali ku join ataweza kuathirika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom