Jifunze tabia hii kutoka kwa kunguni

Jifunze tabia hii kutoka kwa kunguni

Burn the bridge _Tz

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
2,247
Reaction score
6,615
IPO Hivi kunguni anafanya harakati zake kimya kimya Tena kwenye Giza Ila ukiwasha Taa anatulia.

Katika harakati za Maisha yako fanya mambo yako kimya kimya acha matokeo yaongee.

Kunguni akiwa mwilini kwako hawezi kujionesha ukiwa peke yako Ila ukiwa mbele za watu.

Funzo usioneshe uwezo wako mpaka wakati sahihi ficha uwezo wako uoneshe mahali sahihi kwa wakati sahihi.

Kunguni akiamua kukunyonya anakunyonya na anajua mwisho wa siku atakufa.

Hivyo na wewe fanya kazi Kwa bidii Uwe tayari Kufa.

Kitu hutakiwi kuiga Kwa kunguni ni uchafu.
 
IPO Hivi kunguni anafanya harakati zake kimya kimya Tena kwenye Giza Ila ukiwasha Taa anatulia.

Katika harakati za Maisha yako fanya mambo yako kimya kimya acha matokeo yaongee.

Kunguni akiwa mwilini kwako hawezi kujionesha ukiwa peke yako Ila ukiwa mbele za watu.

Funzo usioneshe uwezo wako mpaka wakati sahihi ficha uwezo wako uoneshe mahali sahihi kwa wakati sahihi.

Kunguni akiamua kukunyonya anakunyonya na anajua mwisho wa siku atakufa.

Hivyo na wewe fanya kazi Kwa bidii Uwe tayari Kufa.

Kitu hutakiwi kuiga Kwa kunguni ni uchafu.
Wadudu wana akili sana hawa
 
IPO Hivi kunguni anafanya harakati zake kimya kimya Tena kwenye Giza Ila ukiwasha Taa anatulia.

Katika harakati za Maisha yako fanya mambo yako kimya kimya acha matokeo yaongee.

Kunguni akiwa mwilini kwako hawezi kujionesha ukiwa peke yako Ila ukiwa mbele za watu.

Funzo usioneshe uwezo wako mpaka wakati sahihi ficha uwezo wako uoneshe mahali sahihi kwa wakati sahihi.

Kunguni akiamua kukunyonya anakunyonya na anajua mwisho wa siku atakufa.

Hivyo na wewe fanya kazi Kwa bidii Uwe tayari Kufa.

Kitu hutakiwi kuiga Kwa kunguni ni uchafu.
kunguni uchafu wake ni upi? maana navojua wewe kuwa na kunguni inamaana kwamba wewe ndio mchafu na sio kunguni ndo mchafu! ebu nielezee km siko sahihi
 
Zile guest inakubidi ukafanye usafi siku mbili kabla hujaenda lasivyo nenda na mkeka wako.
Niliwah kulala nimekaa,nilishindwa kabisa kulala,ilikuwa dumila morogoro siku ya mnada lodge na gest zote nzur hujaa wageni
 
Umefanyaje mkuu, tupe uzoefu.
NImetumia Rungu spray, pamoja na kuwaondoa kwa mikono kila ninapo muona.

Walikuwa kwako kwenye godoro,

Kila asb napiga rungu godoro na kitanda na maeneo ya jirani.

NAdhani kwangu walikuwa hawajaweka makazi sana.
Naomba tuu wasirudi.
 
IPO Hivi kunguni anafanya harakati zake kimya kimya Tena kwenye Giza Ila ukiwasha Taa anatulia.

Katika harakati za Maisha yako fanya mambo yako kimya kimya acha matokeo yaongee.

Kunguni akiwa mwilini kwako hawezi kujionesha ukiwa peke yako Ila ukiwa mbele za watu.

Funzo usioneshe uwezo wako mpaka wakati sahihi ficha uwezo wako uoneshe mahali sahihi kwa wakati sahihi.

Kunguni akiamua kukunyonya anakunyonya na anajua mwisho wa siku atakufa.

Hivyo na wewe fanya kazi Kwa bidii Uwe tayari Kufa.

Kitu hutakiwi kuiga Kwa kunguni ni uchafu.
Kunguni wanahamishika wakiingia kwako hata uwe msafi kiasi gani wataweka makazi na bila dawa hawatoki kamwe wataendelea kuzaana tu
 
Back
Top Bottom