JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
Habari wanajamvi, cha kwanza kabisa unatakiwa kujua lengo kuu la website unayohitaji. Mfano, habari, michezo, biashara n.k. Hii itasaidia kujua ni script gani itakayo kufaa.
OK STEP YA KWANZA
Register kwa free or Paid webhost mzuri, mfano bofya hapa au hapa. Jiandikishe kisha utahamishwa ukurasa na utaona sehemu inakwambia create a new accont, bofya hapo kisha utaona form ya kujaza kuhusu jina la web etc. Ukisha jaza form hii website yeko inakuwa hewani mara moja (kwa wale walio tumia subdomain mfano www.jina.ilovetz.com) switch katika website yako kisha nenda autoinstall na chagua script uipendayo kulingana na categories (kwa blogers na shauri watumie wordpress). Hapa ukimaliza unaweza kuanza moja kwa moja kuitumia website yako mfano http://www.imathebrilliant.ilovetz.com
OK STEP YA KWANZA
Register kwa free or Paid webhost mzuri, mfano bofya hapa au hapa. Jiandikishe kisha utahamishwa ukurasa na utaona sehemu inakwambia create a new accont, bofya hapo kisha utaona form ya kujaza kuhusu jina la web etc. Ukisha jaza form hii website yeko inakuwa hewani mara moja (kwa wale walio tumia subdomain mfano www.jina.ilovetz.com) switch katika website yako kisha nenda autoinstall na chagua script uipendayo kulingana na categories (kwa blogers na shauri watumie wordpress). Hapa ukimaliza unaweza kuanza moja kwa moja kuitumia website yako mfano http://www.imathebrilliant.ilovetz.com