Jifunze kwa waliofanikiwa

Jifunze kwa waliofanikiwa

nebuchadnezzer

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
246
Reaction score
344
Tunapenda kumfikiria Mungu kama muumba, jambo ambalo ni zuri lakini upo wakati ambapo tunapaswa tumwone Mungu kama MFANYAKAZI-MWENZA.

Tutazame jinsi alivyofanya kazi yake kwa muda wa wiki moja tu akamaliza mambo yake yote bila dosari yoyote, kazi ambayo mpaka sasa imedumu ili na sisi tuige kwake.

Ubovu wa mipango yetu, malengo yetu, unachangiwa na uvivu wetu wa kuiga kwa waliofanikiwa.

Na hakuna aliyefanikiwa zaidi ya Mungu.

Ili Kufahamu kwa kina ratiba ya wiki ya Mungu jinsi ilivyokuwa. Basi Fungua hapa👇🏾👇🏾👇🏾

 
Kweli aisee,ubusy wako for something ndo mafanikio yako to many thing
 
Back
Top Bottom