Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,324
Tai anapotaka kupambana na nyoka, apambani nae ardhini kwa kujua nyoka ardhini ni mjanja sana! Na mwenye nguvu kubwa sana ni lazima amtwae na kupambana nae juu angani umbali mrefu kabisa nyoka angani hana ujanja nguvu wala stamina, wakati tai akimshambulia nyoka, nyoka hapo hana ujanja wala maarifa mpaka anaishiwa nguvu kabisa na kutupwa chini na nyoka ujifia, sasa hapo cha kujifunza ukitaka kupambana na adui yako kiroho muachie mungu mungu ndio kila kitu na nina imani Utashinda mbarikiwe sana watumishi wa mungu Ameen..