Kimeandikwa kwa lugha gani mkuu.Jipatie kitabu kwa tsh.3000(pdf),kitakachokupa muuongozo jinsi ya kutengeneza tovuti kwa kutumia wordpress .Baada ya kukisoma utaweza kutengeneza tovuti yako wewe mwenyewe bila ya kumlipa mtu akutengenezee.
mawasiliano.0765696086(whatApp)
kiswahili/nimekiandika mimiKimeandikwa kwa lugha gani mkuu.
namba ya simu yangu hiyo 0765696086Hyo ni number ya simu au ni number ya thread yako?
Hiyo pdf naomba uitume hapa.Jipatie kitabu kwa tsh.3000(pdf),kitakachokupa muuongozo jinsi ya kutengeneza tovuti kwa kutumia wordpress .Baada ya kukisoma utaweza kutengeneza tovuti yako wewe mwenyewe bila ya kumlipa mtu akutengenezee.
mawasiliano.0765696086(whatApp)
sawa mkuu, vikipatikana vya bure utapataHiyo pdf naomba uitume hapa.
Wapo wengi wametufunza vingi hawajatutoza hela
Cha bure Learn How to Design a Self-Hosted Business Website/Blog With Your Own Free Domain Name & Hosting - Learn For FeatureHiyo pdf naomba uitume hapa.
Wapo wengi wametufunza vingi hawajatutoza hela
hicho kitabu ni softy copy ama?yoyote atakaye nunua kitabu hiki ,atapata kitabu kingine bure kabisa kinachotoa mwongozo kuhusu blogging
WAHI OFA HII
ndio mkuuhicho kitabu ni softy copy ama?
Usisumbuke. Nenda FB tafuta kundi linaitwa UNIVERSITY COMPUTERS I.T STUDENTS utakutana na mkali anaitwa MASTER KEYS, ipitie utakutana na post ya kutengeneza Website na mambo kibao.Hiyo pdf naomba uitume hapa.
Wapo wengi wametufunza vingi hawajatutoza hela
Usisumbuke. Nenda FB tafuta kundi linaitwa UNIVERSITY COMPUTERS I.T STUDENTS utakutana na mkali anaitwa MASTER KEYS, ipitie utakutana na post ya kutengeneza Website na mambo kibao.Hiyo pdf naomba uitume hapa.
Wapo wengi wametufunza vingi hawajatutoza hela
Ingia FB tafuta kundi linaitwa UNIVERSITY COMPUTERS I.T STUDENTS ipitie utakutana na namna ya kujifunza hiyo kitu bureehicho kitabu ni softy copy ama?
ni kweli kabisa, ndo maana nikaandika kitabu kwa kiswahili yaani hadi aliyeishia darasa la saba anaweza kuelewa.Fursa ya pili kitabu kitakufanya uweze kutoa huduma ya web design kwa watu wengine ambapo inaweza kuwa njia ya kujiongezea kipato.Maana mimi binafsi nafanya web designImebidi watu waulize kuhusu lugha mapema si unajua tena?