Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Inawezekana unajua lakini kuna wasiojua pia. Chukulia umeona picha flani na ukataka jua utawezaje kuiverify imetoka wapi au aliyeipost kaipata wapi. Fuata hatua hizi then.
1. Download hiyo picha kwenye simu/pc yako. Au
2. Copy link ya hiyo picha (hold picha italeta option ya save link address) kumbuka tu usisave link ya kurasa nzima ni save link ya hiyo picha.
3. Fungua link hii https://images.google.com kwa kutumia google chrome kwenye simu yako, kwenye pc itafunguka kwa urahisi zaidi.
4. Ukiifungua kwa kupitia simu basi hakikisha umebonyeza vidoti vitatu juu kulia kwa browser yako.
5. Shuka mpaka kwenye "desktop site" then weka tick.
6. Rudi sasa pale kwenye sehemu ya kuandika maelezo ya unachotaka search utaona icon ya camera imetokea iclick.
7. Utapata option mbili ya kwanza usearch kwa kutumia ile link uliyocopy au option ya pili kwa kutumia picha uliyoidownload.
8. Ukichagua kutumia image basi itakutaka ku upload picha, chagua "choose file" then nenda kaitafute picha ichague itaanza uploading ikimaliza itakuletea link zote ile picha inapopatikana.
MFANO: Nikichukulia picha ya Da'Vinci aliyoweka DP basi mambo yatakuwa hivi!.
NB: Picha ikiwa photoshopped bado itakuletea original one!.
1. Download hiyo picha kwenye simu/pc yako. Au
2. Copy link ya hiyo picha (hold picha italeta option ya save link address) kumbuka tu usisave link ya kurasa nzima ni save link ya hiyo picha.
3. Fungua link hii https://images.google.com kwa kutumia google chrome kwenye simu yako, kwenye pc itafunguka kwa urahisi zaidi.
4. Ukiifungua kwa kupitia simu basi hakikisha umebonyeza vidoti vitatu juu kulia kwa browser yako.
5. Shuka mpaka kwenye "desktop site" then weka tick.
6. Rudi sasa pale kwenye sehemu ya kuandika maelezo ya unachotaka search utaona icon ya camera imetokea iclick.
7. Utapata option mbili ya kwanza usearch kwa kutumia ile link uliyocopy au option ya pili kwa kutumia picha uliyoidownload.
8. Ukichagua kutumia image basi itakutaka ku upload picha, chagua "choose file" then nenda kaitafute picha ichague itaanza uploading ikimaliza itakuletea link zote ile picha inapopatikana.
MFANO: Nikichukulia picha ya Da'Vinci aliyoweka DP basi mambo yatakuwa hivi!.
NB: Picha ikiwa photoshopped bado itakuletea original one!.