Jifunze kingereza

Jifunze kingereza

Psiteshio72

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
634
Reaction score
442
article /a/
hi huwa Ina kanuni zake kwa matumizi ya lugha
_ kwanza ni lazima ifuatiwe na nomino
_pili nomino hizo ziwe Zinahesabika
Mfano
a boy.
a house
a teacher...
NK.
Huwezi sema
a food
a money nk.
Upande wa vitu visivyohesabika huwa tunatumia some
Mfano
Some money
Some food
Some water.(huwezi ukahesabu maji)
Ukisema *a play* sio sahihi, kwasababu missing ya kingerez haijafuatwa *play*ni cheza,maanake ni kitenzi/kitendo.
Kwa hyo kanuni kuuu ya article/kiashiria nafsi ni hufuatiwa na nomino.
Karibu saaaasa ujifunze kingereza fasaha kwa kiswahili. Ikiwa ni punguzo kubwa la msimu wa siku kuu.
Wasiliana nami sasa 0753093869
 
Njia ya haraka na rahisi kujifunza lugha ni katka kusikiliza na kuongea.
 
Andika hii sentesi kwa kiingereza "niling'ang'ania mti baada ya kukimbiza na simba shambani"
 
Have+has huonyesha umiliki wakati uliopo
Mfano
We have two houses/tunamiliki nyumba mbili
 
Back
Top Bottom