Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 442
article /a/
hi huwa Ina kanuni zake kwa matumizi ya lugha
_ kwanza ni lazima ifuatiwe na nomino
_pili nomino hizo ziwe Zinahesabika
Mfano
a boy.
a house
a teacher...
NK.
Huwezi sema
a food
a money nk.
Upande wa vitu visivyohesabika huwa tunatumia some
Mfano
Some money
Some food
Some water.(huwezi ukahesabu maji)
Ukisema *a play* sio sahihi, kwasababu missing ya kingerez haijafuatwa *play*ni cheza,maanake ni kitenzi/kitendo.
Kwa hyo kanuni kuuu ya article/kiashiria nafsi ni hufuatiwa na nomino.
Karibu saaaasa ujifunze kingereza fasaha kwa kiswahili. Ikiwa ni punguzo kubwa la msimu wa siku kuu.
Wasiliana nami sasa 0753093869
hi huwa Ina kanuni zake kwa matumizi ya lugha
_ kwanza ni lazima ifuatiwe na nomino
_pili nomino hizo ziwe Zinahesabika
Mfano
a boy.
a house
a teacher...
NK.
Huwezi sema
a food
a money nk.
Upande wa vitu visivyohesabika huwa tunatumia some
Mfano
Some money
Some food
Some water.(huwezi ukahesabu maji)
Ukisema *a play* sio sahihi, kwasababu missing ya kingerez haijafuatwa *play*ni cheza,maanake ni kitenzi/kitendo.
Kwa hyo kanuni kuuu ya article/kiashiria nafsi ni hufuatiwa na nomino.
Karibu saaaasa ujifunze kingereza fasaha kwa kiswahili. Ikiwa ni punguzo kubwa la msimu wa siku kuu.
Wasiliana nami sasa 0753093869